kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,255
- 16,185
- Thread starter
- #61
Kwa sababu Kilimanjaro yameandikwa drinking water unadhani ndio standard? Acha kukariri, Dasani ni international brand na kuna 'purified water', sparkling water' etc. Kuna aina nyingi tu za maji duniani (zilizothibitishwa kwa ubora) ambazo hazijaandikwa 'Drinking water'..
Wewe ndo wasema kuhusu Kilimanjaro, jaribu peleka dasani/uhai Ikulu ukawape somo hilo uone kama hutarudishwa nayo getini. Hivyo dasani yako iliwahi kupata skendo ya ubora ikapigwa chini umesahau mkuu? Maji ya kunywa ni maji ya kunywa sio purified water, sparkling, pure, safi, halisi wala smart. Ila kama unataka maji ya kunawa uso, kupiga mswaki, kunawa mikono, kusukutua, kushusha/kupandisha pH ya mwili, kuponya kiungulia, n.k. basi nunua hayo yenye majina mengine. Lakini maji ya kunywa ni colorless, odorless, tasteless, shapeless. Yanatumika katika kukata kiu ya mtu mwenye kiu.