Michezo ya WEST hiyo kama ujagundua..Bush aliwatumia raia wa iraqi wenye uhusiano mkubwa na Iran(shiite's)na ambao kiasili ni wairan..ambao walikuwa ukimbizini Iran Saddam akiwa madarakani(divide and rule is on the works)Kwani hadi sasa mapato ya mafuta hayagawanywi sawa kwa wananchi wote!Na kujua wazi kuwa kumuondoa Saddam ni sawa na kumpa Muiran(Ambaye still yuko kwenye axis of evil sambamba na iraq na ambaye yuko kwenye fungu la mmadui wakubwa wa marekani)Nguvu kubwa huku akidai kuwa ni mashetani!Kwa kuwapa "mashetani" nguvu ili vita visimalizike!NI WAZI KUWA FREEDOM WANAYOIPREACH SIO FREEDOM TUNAYOIJUA SISI (watu wa kawaida)!TAFSIRI HAPA LAZIMA NI TOFAUTI TEGEMEA NA MAKUZI,HISTORIA NA MAZINGIRA!Ni wazi kuwa dunia ikiwa na amani matajiri wakubwa watapata hasara!Kuna matajiri ambo wanautawala ulimwengu huu ambao wameinvest kwenye vita na vita ikiisha hawana mapato!NI SAWA NA MTENGENEZA MAJENEZA AMBAYE SASA ANAAMUA KWENDA KUUA ILI APATE BIASHARA!Shida kwa west ni kwamba hawataki kufanya biashara ambayo ni the leastet fair!Hawataki kuilipa Iraqi pesa ambazo zitalisadia taifa..bali group la watu wachache(Shhite)ambao wako maeneo ya kusini kwenye mafuta mengi na kaskazini pia ambapo wamefanikiwa kuwagawanya kurdish based on ukabila na sasa wanawalipa pesa kidogo tu zitakaoyoitosha kurdistan area na sio iraq!When are they going to sympathise and think about other credible human beings?Hawataki kufanya biashara halali na fair ambayo italinufaisha taifa..badala yake watalazimisha miaktaba wanayotaka wao na ukikataa yatampata yaliompata Saddam na wengineo!Mfano halisi ni Musharaf ambaye licha ya kwamba ana nyuklia weapons bado ali surrender kwa Bush..sambamba na mnafiki Gadafi ambaye naye mara baada ya mkwara wa Bush akampigia simu Blair na kukubali kuanza kuwalipa jamaa na familia za ile ndege ya scotland ambapo ni mabilioni ya dola!Ndege hiyo inasadikika kuwa ililipuliwa na magaidi kutoka Libya!Kutokana na hilo ni vigumusana kumuangushia Rais lawama...ila anachotakiwa kuafanya sasa hivi ni kuhakikisha kuwa kile kinachopatikan kinatumika vizuri kwenye harakati za kuindeleza nchi kuwapatia wananchi matibabu na mahitaji muhimu na sio wachache kama ilivyojionyesha hivi majuzi kwenye matumizi ya mil mbili ya spika wa bunge kwa ajili ya miguu yake ambayo pengine mazoezi peke yake yangeweza kusaidia!wewe jiulize kitu kimoja, "eti wafaransa wametupa logistic support kusafirisha askari wetu kwenda comoro at the same time wafaransa hao hao wanampa ammunation Bacar hapa kuna mchezo gani umechezwa?, je intelligence yetu ilikuwa wapi kutokufahamu mapema kwamba wafaransa wanacheza pande zote?. na kama walifahamu kinachoendelea kuhusu double standard za wafaransa kwa nini hawakukataa msaada wao wa kusafirisha askari wetu?.
Michezo ya WEST hiyo kama ujagundua..Bush aliwatumia raia wa iraqi wenye uhusiano mkubwa na Iran(shiite's)na ambao kiasili ni wairan..ambao walikuwa ukimbizini Iran Saddam akiwa madarakani(divide and rule is on the works)Kwani hadi sasa mapato ya mafuta hayagawanywi sawa kwa wananchi wote!Na kujua wazi kuwa kumuondoa Saddam ni sawa na kumpa Muiran(Ambaye still yuko kwenye axis of evil sambamba na iraq na ambaye yuko kwenye fungu la mmadui wakubwa wa marekani)Nguvu kubwa huku akidai kuwa ni mashetani!Kwa kuwapa "mashetani" nguvu ili vita visimalizike!NI WAZI KUWA FREEDOM WANAYOIPREACH SIO FREEDOM TUNAYOIJUA SISI (watu wa kawaida)!TAFSIRI HAPA LAZIMA NI TOFAUTI TEGEMEA NA MAKUZI,HISTORIA NA MAZINGIRA!Ni wazi kuwa dunia ikiwa na amani matajiri wakubwa watapata hasara!Kuna matajiri ambo wanautawala ulimwengu huu ambao wameinvest kwenye vita na vita ikiisha hawana mapato!NI SAWA NA MTENGENEZA MAJENEZA AMBAYE SASA ANAAMUA KWENDA KUUA ILI APATE BIASHARA!Shida kwa west ni kwamba hawataki kufanya biashara ambayo ni the leastet fair!Hawataki kuilipa Iraqi pesa ambazo zitalisadia taifa..bali group la watu wachache(Shhite)ambao wako maeneo ya kusini kwenye mafuta mengi na kaskazini pia ambapo wamefanikiwa kuwagawanya kurdish based on ukabila na sasa wanawalipa pesa kidogo tu zitakaoyoitosha kurdistan area na sio iraq!When are they going to sympathise and think about other credible human beings?Hawataki kufanya biashara halali na fair ambayo italinufaisha taifa..badala yake watalazimisha miaktaba wanayotaka wao na ukikataa yatampata yaliompata Saddam na wengineo!Mfano halisi ni Musharaf ambaye licha ya kwamba ana nyuklia weapons bado ali surrender kwa Bush..sambamba na mnafiki Gadafi ambaye naye mara baada ya mkwara wa Bush akampigia simu Blair na kukubali kuanza kuwalipa jamaa na familia za ile ndege ya scotland ambapo ni mabilioni ya dola!Ndege hiyo inasadikika kuwa ililipuliwa na magaidi kutoka Libya!Kutokana na hilo ni vigumusana kumuangushia Rais lawama...ila anachotakiwa kuafanya sasa hivi ni kuhakikisha kuwa kile kinachopatikan kinatumika vizuri kwenye harakati za kuindeleza nchi kuwapatia wananchi matibabu na mahitaji muhimu na sio wachache kama ilivyojionyesha hivi majuzi kwenye matumizi ya mil mbili ya spika wa bunge kwa ajili ya miguu yake ambayo pengine mazoezi peke yake yangeweza kusaidia!
Kwa wale wanaosoma na kufuatilia hotuba za kila mwisho wa mwezi kutoka Magogoni Rais amelizungumzia hili swala(kama ameshahutubia taifa)?
GT, I'm still trying to find out hizo funds zimetoka wapi, nitakujulisha kwenye PM.
ICADON, GT na wengine
Tujulisheni progress huko Commoro? Je majeshi yetu yameanza kupata ushambulizi kutoka kwa insugents? Je hakuna hata Friendly fire?
Wanajeshi wangapi kutoka pande zote wameuwawa au kujeruhiwa?
Ni lini Tarehe rasmi ya uchaguzi ili tujue wanajeshi wetu watarudi lini nyumbani? Hali kwa ujumla ikoje?
Apparently it has been a very smart investment for the future.