Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Najua mpo wengi tu, hebu jitokezeni mtupe mkasa mzima.
kwahiyo ilikula kwako? POLE MREMBODaah nimeamini hamna mtu ananipenda kwa kweli hata ka sms basi hata hata
acha tu mwenzangu.who cares?????????????????kwahiyo ilikula kwako? POLE MREMBO
Ila leo asubuhi hakukuwa na foleni kabisa.........inaelekea watu walilala late sana
ulikubwa na nini mpaka useme hivi?Nimeamini kuwa mapenzi bila pesa siku hizi hayaendi,heri kwa wazazi wetu ambao walipendana zamani na hakukuwa na mambo mengi ambayo yanataka utumie pesa katika kufanikisha mapenzi tofauti na sasa.
happy valentine smileDaah nimeamini hamna mtu ananipenda kwa kweli
hata ka sms basi
hata hata
Daah nimeamini hamna mtu ananipenda kwa kweli
hata ka sms basi
hata hata