GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,709
- 109,145
Yaani kama Roho zote za Timu zina Majeraha makubwa na mabaya bado tunategemea kabisa kumfunga Masandawana tatehe 30 hapa Kwa Mkapa Dar es Salaam?
Mwaka jana Simba SC ilipoandamwa na Majeruhi wengi kuna Watu hapa JamiiForums mlifurahi sana hivyo nami GENTAMYCINE leo nafurahi mno kwa Azam FC kuwaongezeeni idadi ya Wachezaji Majeruhi mlionao.
Azam FC 2 na Yanga SC 1 Kudadadeki.
Mwaka jana Simba SC ilipoandamwa na Majeruhi wengi kuna Watu hapa JamiiForums mlifurahi sana hivyo nami GENTAMYCINE leo nafurahi mno kwa Azam FC kuwaongezeeni idadi ya Wachezaji Majeruhi mlionao.
Azam FC 2 na Yanga SC 1 Kudadadeki.