Unaongelea ile Scania ya VIGU nn?Natamani kujua ni gari ya kampuni gani,maana kuna gari ya kampuni ninayofanyia kazi waliikamata pale Kibaha wakaiharibu sana kwa kua hawana uzoefu wa kuvuta malori,mdosi akawasusia gari kisha akawapeleka mahakamani,akasema anataka aifilisi hiyo kampuni maana inanyanyasa watu sana.Niko safarini natamani nijue
Pesa hainaga urafiki na wawashughulikie tuuTena waliosimamia shoo ni wanadi wenzake YONO
Tujaribu kupunguza "vacuum" unahisi aliyetakiwa kuwa na busara kwanza ni nani? Tupinguze dharau na ubabe husio na tija. Kila mbabe nayeye anambabe wake.Faini ya tsh.milioni 300 ndo ifanye wapige mnada office zao za mwenge and everything within a compound?mimi ni valuer na ninaifahamu ofisi yao na asset zote zilizopo pale,,,ts either busara haijatumika kwny court utekelezaji wa hukumu au mahakama iliamua kuwakomoa hawa majembe,,kuna haja ya mahakama zetu kuunda organ ya "judgement enforcement" ili hukumu ziwe zinatekelezwa in a fair way kwa pande zote mbili(simtetei majembe n co. n kwa upande mwingine nimefurahi kwa karma hii iliyowakuta,naongelea mechanism ya kuenforce hukumu kiujuma in tz)
Vigu hana na hajawai kuwa ma SCANIA.Pale ni mwendo wa MERCEDES BENZ (actros,axor)na MAN.Unaongelea ile Scania ya VIGU nn?
Duc in Altum
Labda deni na riba vilikuwa katika dola. Si unajua tena shilingi yetu imeshuka thamani.Hata mimi Inanipa shida kimahesabu. Deni la million 5 kuwa million 300 ndani ya miaka minne? Hata kama kuna riba kubwa, hesabu hizo zipo juu mno!
isuangalie hayo magari ya watu yaliyokamatwa pale yard ya mwenge.yale hayahesabiki ni kale kamjengo na vviduka vilivyozunguka ndivyo vilivyothaminishwa na bado havifiki 300mFaini ya tsh.milioni 300 ndo ifanye wapige mnada office zao za mwenge and everything within a compound?mimi ni valuer na ninaifahamu ofisi yao na asset zote zilizopo pale,,,ts either busara haijatumika kwny court utekelezaji wa hukumu au mahakama iliamua kuwakomoa hawa majembe,,kuna haja ya mahakama zetu kuunda organ ya "judgement enforcement" ili hukumu ziwe zinatekelezwa in a fair way kwa pande zote mbili(simtetei majembe n co. n kwa upande mwingine nimefurahi kwa karma hii iliyowakuta,naongelea mechanism ya kuenforce hukumu kiujuma in tz)
Muosha HUOSHWAWhen a hunter hunted.