Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,281
MUNGU ni mkubwa sana, hawa Makembe walinikamata Pugu road maeneo ya Toyota asubuhi nimepark Wrong site wakanipeleka Yard Keko sina hata hela ya mafuta ya kurudi Bara.
Ilinibidi niwaite wasamaria wema wanichangie 50,000/
Niliachiwa na sikutamani tena kwenda Dar na Gari kwani Majembe ya Mamoto haina hata chembe ya huruma.
Na hii kesi nilishaisikia sana huku Dodoma kuwa kuna mbabe kawazilia gari deni limeshakuwa kubwa wanatakiwa wafilisiwe
Kweli awamu ya 5 tutasikia mengi na hasa Sheria kufuata Mkondo
ni kweli Deni la 5m kwa miaka mitano linaweza fikia kiasi hicho kwani kuna ile Riba iitwayo Accumulative Principal na maadhabu mengine pamoja na gharama za Kesi
Ilinibidi niwaite wasamaria wema wanichangie 50,000/
Niliachiwa na sikutamani tena kwenda Dar na Gari kwani Majembe ya Mamoto haina hata chembe ya huruma.
Na hii kesi nilishaisikia sana huku Dodoma kuwa kuna mbabe kawazilia gari deni limeshakuwa kubwa wanatakiwa wafilisiwe
Kweli awamu ya 5 tutasikia mengi na hasa Sheria kufuata Mkondo
ni kweli Deni la 5m kwa miaka mitano linaweza fikia kiasi hicho kwani kuna ile Riba iitwayo Accumulative Principal na maadhabu mengine pamoja na gharama za Kesi