bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Labda millioni 4😕
Ndo habari ya mjini sasa kama hatuna police vile watu wanamiliki silaha wanajitamba tu barabarani kwa kufanya lolote wajualo....
simbaya nipo tulipofikishwa hapa...uongozi husika.
Labda millioni 4😕
Embu jaribu wewe hapo jirani yako kwenye kiduka cha mangi kachukue , kama unaona ni ulaini.watu wengine mnatafuta hela kwa jasho miaka nenda rudi, wengine wanachukua kiulaini kama hivi - duh
Nipo hapa mbuyuni, dar. Majambazi yamepora fedha zinazokisiwa kufikia sh bilioni nne. Zilikuwa ktk gari lenye namba za dfp. Foleni ni kubwa sana.
Gari lilikuwa likitoka mjini. Ikumbukwe kuwa hapa ni jirani na oysterbay police. Pia si mbali na benki walikopora jana asubuhi.
Kwa hakika kila mtu kashangaa hapa. Waliokuwa kwenye dfp wameonekana kuchanganyikiwa. Ukweli utajulikana.
Asante ...HIZI NI ML 80....SASA FANYA MARA 50...
![]()