TIGOPESA
Senior Member
- Apr 2, 2014
- 190
- 64
nice question.wewena mm tu ndo great thinkers humu JF.
Billion nne zinabebwa kwenye gari bila ulinzi!?
Billion nne zinabebwa kwenye gari bila ulinzi!?
Mbuyuni namangaMbuyuni Namanga au mbuyuni ipi?
Asante!
Wewe utakuwa shahidi muhimu wa tukio hili.
Cc S Kova
Mkuu hata mimi naamini ni mchezo tu picha halisi ilishachezwa kitambo ila hapo walikuwa wanamalizia kipande cha mwisho.Billion 4 zibebwe kwenye DFP? A big joke! Gari za kubebea fedha zina kazi gani? That is a planned deal, pengine hata hiyo hela haikuwepo, walitaka kuthibitisha tu kuwa ilishaibiwa.
kweli kabisa police wanajuaga matukio yote yanayotaka kufanywa.....HAROOO FANYENI HIYO KAZI LAKINI ANGARIENI MSIMWAGE DAMU AISE KUMBUKA MKICHUKUA CHETU MTUWEKEE SAWA NYIE....SAWA...polisi haoMkuu hata mimi naamini ni mchezo tu picha halisi ilishachezwa kitambo ila hapo walikuwa wanamalizia kipande cha mwisho.
wakati wao wametengeneza mchongo jamaa wapige kiulaini....utakuta doria zte hazipo karibu zmepelekwa mbali....hapo hata polisi wangekuwepo ingekuwa kazi bure tuu
Mkuu nilikuwa nawahi kwenye miadi. Vijana wataleta data zote. Naambiwa polisi wameshafika eneo la tukio pale kwenye stendi ya daladala ziendazo mwenge.
Nipo hapa mbuyuni, dar. Majambazi yamepora fedha zinazokisiwa kufikia sh bilioni nne. Zilikuwa ktk gari lenye namba za dfp. Foleni ni kubwa sana.
Gari lilikuwa likitoka mjini. Ikumbukwe kuwa hapa ni jirani na oysterbay police. Pia si mbali na benki walikopora jana asubuhi.
Kwa hakika kila mtu kashangaa hapa. Waliokuwa kwenye dfp wameonekana kuchanganyikiwa. Ukweli utajulikana.
hatuko hapa kutishana mkuu, tupo hapa kujuzana mambo yanayotokea kona mbalimbali ndani na nje ya nchi!!
Labda millioni 4😕