Mangare100
Member
- Aug 21, 2012
- 57
- 25
Inawezekana coz huyo mama anaonekana jasiri sana yaani pamoja na kwamba alishasikia miliona mitatu ya risasi bado alipata ujasiri wa kutoa kitambulisho akawapa fuko la hela. Halafu kwa nini hataki kusema kiasi cha hela kinichoibiwa? Hapa kuna ...