Sasa we ndo utiambie vizuri maana inaonrkana una habari yote.na mimi nilitaka kuripoti tukio hili, habari ni ya kweli, wapora Akiba bank
kalumanzila kawaponzaHao majambazi wapuuzi sana sijui wametoka wapi unaenda kuiba kariakoo katikati utoke salama.
mpigie huyu 0754034224 anaitwa kova atakupa mkasa wote<br />By Naibili<br />
na mimi nilitaka kuripoti tukio hili, habari ni ya kweli, wapora Akiba bank
Sasa we ndo utiambie vizuri maana inaonrkana una habari yote.
Du ni kweli hii X-Mas inawasababisha hawa kina Haleluya kufikiria kwenda Mgombani tu na magari ya anasaJambazi aliyekamatwa ana 24 years anayefahamika kwa jina la Haleluya
Haleluya ???...........huyu kijana wa Shikamoo Pesa au??Jambazi aliyekamatwa ana 24 years anayefahamika kwa jina la Haleluya
Aiseee!!! Haya..Amen.Jambazi aliyekamatwa ana 24 years anayefahamika kwa jina la Haleluya
teh teh teh ngoja jamaa zake wanakuja kuthibitishaHaleluya ???...........huyu kijana wa Shikamoo Pesa au??
Mkuu ulitaka ikaeje vizuri ili ikusuuze!? Labda ingepigiwa matarumbeta..makeki na mashampeni?Habari yakusikitisha ila haijakaa vizuri!
Wanaiba pesa nyingi namna hiyo hawajui mwisho wa dunia ni wiki hii!! Why kujichumia dhambi kwa pesa ambayo hautaweza kuitumia. Soo sad!