Majambazi yanatikisa kariakoo

Majambazi yanatikisa kariakoo

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,665
Majambazi yako yanatikisa Kariakoo mida hii, yanatumia piki piki na yanasiraha nzito za kivita, walio eneo la tukio watupe taarifa zaidi.

Yameua mtu mmoja lakini majambazi mawili yaliyokuwa kwenye pikipiki moja yametiwa nguvuni (Jeshi la Polisi lisije kudanganya kwamba linawatafuta-wawili wamekamatwa)

na tayari yalikuwa yamefanikiwa kupora Bank.
 
kariakoo sasa hivi kuna hela ya sikukuu wanataka kuzichukua
 
wewe habari umepata wapi? maana nawe unataka upewe habari
 
We upo wapi?
Niko mbali naendelea kupata taarifa kwa simu kutoka kwa mtu aliyeapo, tatizo inaonekana amejificha kwenye duka na hawezi kuongea kwa uhuru sababu hawaaminiani na watu walioumo ndani pia.
 
Niko mbali naendelea kupata taarifa kwa simu kutoka kwa mtu aliyeapo, tatizo inaonekana amejificha kwenye duka na hawezi kuongea kwa uhuru sababu hawaaminiani na watu walioumo ndani pia.

trust no one even ur shadow
 
wale polisi wa doria a vpikipiki vyao na Silaha wako wapo? ama wale kazi yao ni kukamata madereva wa daladala
 
Niko mbali naendelea kupata taarifa kwa simu kutoka kwa mtu aliyeapo, tatizo inaonekana amejificha kwenye duka na hawezi kuongea kwa uhuru sababu hawaaminiani na watu walioumo ndani pia.
Kwa kuwa wewe una mawasiliano na mtu aliyeko kwenye tukio, basi endelea kutujuza kinachoendelea kupitia huypo source wako
 
Niko mbali naendelea kupata taarifa kwa simu kutoka kwa mtu aliyeapo, tatizo inaonekana amejificha kwenye duka na hawezi kuongea kwa uhuru sababu hawaaminiani na watu walioumo ndani pia.
hiyo mkuu, si sahihi uko mbali, unawasiliana na mtu mwingine kwa simu, unatuhabarisha sisi kwa kutowaamini walinda usalama yaani polisi ,kisha unatoa hukumu kwa waliokamatwa.kuwa ni wahusika moja kwa mojayekua ,hutaki polisi itoe maelezo mengine baada ya mahojiano hayo ni mapungufu. mwambie anayekuhabarisha akusanye taarifa sahihi na za kina utuhabarishe kwa uchangiaji.
 
na mimi nilitaka kuripoti tukio hili, habari ni ya kweli, wapora Akiba bank
 
Tatizo la hii thread imekosa mtu au mwana JF wa kusapoti kuwa kitu hicho kipo au kweli kimetokea.
 
redio moja hapa mjini kupitia reporter wake wanadai hizo fedha zilikuwa ndani ya buti ya gari na kuwa aliyeuliwa ni mwanaume aliekuwa akiendesha gari hilo na mwingine ambaye amejeruhiwa wakati wakijaribu kuwafuatilia majambazi hapo ambao baada ya kuzidiwa walidondosha kiasi fulani cha pesa na kingine kufanikiwa kuokolewa na polisi
 
Back
Top Bottom