christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,488
- 3,878
Kwani yeye kaondoka na mfumo upi?Ndio ujue kwamba Magufuli alikuwa ni rais wa hovyo, aliendesha nchi ktk namna ya watu kumuogopa yeye pasipo kujenga mifumo imara.
Angejenga mifumo imara suala la majambazi kutoweka lingekuwa la jumla jumla.