Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,157
Hebu tueleze huo mfumo uweje?Jengeni mfumo nyie sasa, yeye aliweza tatua tatizo tukalisahau, hayo ya mfumo ni ya kwenu na porojo kibao, kazi sifuri.
Hebu tueleze huo mfumo uweje?Jengeni mfumo nyie sasa, yeye aliweza tatua tatizo tukalisahau, hayo ya mfumo ni ya kwenu na porojo kibao, kazi sifuri.
hebu tuambie hiyo mifumo labda kama ipi usiishie kusema mifumo tuNdio ujue kwamba Magufuli alikuwa ni rais wa hovyo, aliendesha nchi ktk namna ya watu kumuogopa yeye pasipo kujenga mifumo imara.
Angejenga mifumo imara suala la majambazi kutoweka lingekuwa la jumla jumla.
aise last week nimeshikiwa kisu nikakabidhi kila kituMtamkumbuka magufuli hata vibaka huku mitaani wanaongezeka kwa kasi.
Siwezi kumsahau magufuli, 2017 kulitokea genge la wapiga nondo watu walikuwa wakilala saa 1 jion.
Ile operation ndani ya wiki moja tu amani ilitawala.
RIP JPM
uneongea vyema sana. mifumo kashindwa kujenga JK ajenge SSH sasaJengeni mfumo nyie sasa, yeye aliweza tatua tatizo tukalisahau, hayo ya mfumo ni ya kwenu na porojo kibao, kazi sifuri.
wewe juha kweli. sheria zipo na nzuri tu ila watu wanashindwa kuzifuata sababu wasinamizi ni weak. nenda mahakamani uko ukaone watu wanavyonyimwa haki zaoNi hilo lilikua jukumu lakekuhakikisha polisi wanafanya kazi kwa weledi bila hata uwepo wake. Angefanya marekebisho ya sheria kuongeza weledi kwenye jeshi letu.
Nyumbu hawezi kukujibu maana alisikia Nape akiseama hivyo hata maana yake hajuhi!Hebu tueleze huo mfumo uweje?
P**mbavu zako wewe nyumbu!Wakati wa mwendazake ujambazi ulikuwepo sana sema.ilikuwa Ni mwiko vyombo vya habari kuripoti
WEWE UJAMBAZI MAGU ALIPUNGUZA SANA..MFANO WALE WA RUFIJI..TANGA..MWANZA..MPOLI YA KAGERA NA KIGONASijajua ni wapi huko Ujamabazi ulimalizwa na Magufuli.
Baby wewe ni muongoaise last week nimeshikiwa kisu nikakabidhi kila kitu
tena sehemu ya wazi kabisa jaman
Kwani hakukuwahi kuwa na rais nchi hii kabla yake ? Hao wengine walitengeneza mfumo upi ?Ndio ujue kwamba Magufuli alikuwa ni rais wa hovyo, aliendesha nchi ktk namna ya watu kumuogopa yeye pasipo kujenga mifumo imara.
Angejenga mifumo imara suala la majambazi kutoweka lingekuwa la jumla jumla.
Weweee poleeaise last week nimeshikiwa kisu nikakabidhi kila kitu
tena sehemu ya wazi kabisa jaman
usitake nikala ban kwa ajili yako aiseeBaby wewe ni muongo
ndo ukubwa wameondoka na kaapple kangu kapyaa yani daahWeweee polee
For the sake of love sawa tuu kula banusitake nikala ban kwa ajili yako aisee