Rufiji, demokrasia ina gharama na gharama mojawapo ni kuheshimu utawala wa sheria. Kwa maneno yako unataka tuhalalishe raia kuchukua sheria mikononi. Naomba nirudie tena, sibishanii kama walikuwa majambazi au la....nahoji jinsi walivyouawa...
There is no way Kenyan authorities can defend criminals. In fact, some of those killed last week in Moshi were on the most-wanted list of criminals back home in Kenya,? he noted.
An emphatic High Commissioner Mbaya added: ?The allegations are not true. We cannot do that. I am a Kenyan ambassador talking to you now; please, don?t rely on unofficial reports
Kumbuka kisa cha aliyekuwa RPC wa Bukoba..alijitahidi kujipatia umaarufu kwa kutangaza kila kukicha kuwa polisi mkoani kwake 'wamekurupusha majambazi' wa Burundi/ Tz/Rwanda..na kila mara alionyesha rundo la silaha kwenye TV alizodai zilikamatwa katika purukushani hiyo..hadi polisi wadogo walipotoa siri kuwa silaha hizo zilikuwa zinatolewa polisi...kuwekwa porini...na 'ambush' kupangwa..Uliwahi kusikia 'ambush' ya polisi ikishuhudiwa live na waandishi wa habari/TVs?Kwa hiyo hata hizo silaha zilipangwa pia?...........i mean im lost
MBILI - wale jamaa waliofanikiwa kutoroka, mbona mpaka leo hawajaripoti vituoni kuhusu wenzao kuuawa(kama kweli ni raia wema). Naamini hawa ndio key on what really happened AU hakuna aliyetoroka?(yaani imetungwa). Naamini wako waliotoroka kwani mtu 14 haziwezi kufit kwenye VITARA.
MBILI - wale jamaa waliofanikiwa kutoroka, mbona mpaka leo hawajaripoti vituoni kuhusu wenzao kuuawa(kama kweli ni raia wema). Naamini hawa ndio key on what really happened AU hakuna aliyetoroka?(yaani imetungwa). Naamini wako waliotoroka kwani mtu 14 haziwezi kufit kwenye VITARA.
Mimi sielewi watu mnatetea nini haswa ? Jamani ni muhimu kuheshimu utawala wa sheria lakini ni lazima tutambue hapa tunazungumzia Tanzania . Jee kama polisi wangewakamata wale watu na kuwapeleka kortini , mnadhani wangeweza kushinda hiyo kesi . Let us make hypothetical assumption kwamba hawa watu walikamatwa njiani na hawakuwa na silaha kipindi hiko kwani waliziacha nyumbani, Jee prosecutor angeweza kuprove vipi mahakamani kwamba zile silaha ni za wale jamaa ?
...haiiingii akilini kuua watu 14 huku wakiwa na silaha na hakuna hata polisi mmoja aliyeumia
Ulitaka polisi wafe ndio huamini yale yalikuwa majambazi ....this is preposterious !
Ulitaka polisi wafe ndio huamini yale yalikuwa majambazi ....this is preposterious !
Mwanakijiji ,
Naona wewe sasa tunaweza kuwa na dialogue tofauti na Koba ambaye anatukana watu .Ok Mwanakijiji , ngoja mimi ni act kama devil advocate hapa ni ushahidi gani ulionao ya kuwa wale polisi walifanya pre- emptive strike? Mimi tangu mwanzoni nilisema maoni yangu yalikuwa yamebase kwenye hypothetical assumptions.