Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,498
- 40,047
Nd. Mwanakijiji,
Umejuaje kama matundu ya risasi kwenye miili ya hawa jamaa yanaashiria CLOSE RANGE? Unless kama umeona forensic report!
hata hivyo kama polisi walitumia SMG ( bila shaka walitumia), unategemea kweli matundu yake yatakuwa sawa na yale ya pistol??(ambayo unaweza ku-judge kirahisi kama ni close range kind of shooting au la)
Brutus, mbona taarifa hiyo imetoka tangu juzi na Polisi wetu hawajakanusha. Jamani, mauaji ya bunduki yanachunguzika kiurahisi sana na ni rahisi kujua hata umbali wa mtu alikokuwa na hata angle ya risasi iliingiaje. Brutus, kwa vile naona umepitwa kidogo mambo yanayojulikana hadi hivi sasa publicly:
a. Walipigwa risasi kifuani
b. Walipigwa risasi kichwani
c. Walipigwa risasi wengine wakiwa wamegeuka nyuma (from behind)
d. Walipigwa risasi kwa ukaribu
Hayo yote manne yanajulikana na Polisi wetu na wa Kenya. Hayajakanushwa, kwani wakikanusha tu, miili bado haijazikwa mtaalamu yeyote yule anaweza kwenda kuiangalia na kuamua!