Majaliwa Ndio Mgombea wa Urais 2025

Mkuu Samweli mathayo kwa CCM ya sasa, hakutakuwa na makubaliano ya pamoja kama ilivyozoeleka kuwa nani anagombea, kutakuwa na mapigano na mvurugano mkali sana kabla ya kufikia uamuzi. Kumbuka 2025 hata watu ndani ya CCM ndipo itakuwa muda wa wao kuwa na uhuru wa kusema chochote.
 
jiwe kifo ndio kitamuondoa kwenye hiyo nafasi mark my ****..ing words

Hakatizi 2025. Yaani haendi popote, aje asome hapa halafu asubirie kama anabisha. Awamu ya pili ya muhula ujao mwishoni ataanza unafiki wa kujinyenyekeza. Akisoma tunavyojadili hapa ina muuma kuliko kitu kingine chochote, trust me, namfahamu vizuri huyu jamaa hasa unapomhakikishia kuwa pamoja na ubabe wako kuna jambo huwezi kufanya.
 
Hakatizi 2025. Yaani haendi popote, aje asome hapa halafu asubirie kama anabisha. Awamu ya pili ya muhula ujao mwishoni ataanza unafiki wa kujinyenyekeza. Akisoma tunavyojadili hapa ina muuma kuliko kitu kingine chochote, trust me, namfahamu vizuri huyu jamaa hasa unapomhakikishia kuwa pamoja na ubabe wako kuna jambo huwezi kufanya.
kwa maelezo yako inaonekana kweli yohana unamjua vizuri
 
Hakatizi 2025. Yaani haendi popote, aje asome hapa halafu asubirie kama anabisha. Awamu ya pili ya muhula ujao mwishoni ataanza unafiki wa kujinyenyekeza. Akisoma tunavyojadili hapa ina muuma kuliko kitu kingine chochote, trust me, namfahamu vizuri huyu jamaa hasa unapomhakikishia kuwa pamoja na ubabe wako kuna jambo huwezi kufanya.
Ila jamaa angeachwa kweli,ni rahisi kuwalazimisha yeye mtakatifu;au mgombea atayefata
 
Hili ni kaburi bichi kabisa ambapo ndio anazikwa mtu, naamini litafukuliwa mda ukiwadia, ila jiwe sio wa kuondoka leo wala kesho, labda akate moto, mikakati mikali sana inasukwa mark my word

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh, tuache kuwaza madaraka kila wakati, tufanye kazi jamani. Hii nchi ikiwa ni ya kuwaza na kuwazua tu mambo ya aina hii tutafika kweli.

Mkuu inaoneka ww ukishakula ukashiba hujiulizi kesho itakuwaje. Wenzi wanaoweza kufikiri hawajizuii kufikiri kesho wanataka iweje. Mtawala wa sasa hata wenzako huko ndani wameshamchoka kwanamna anavyoendesha mambo. Sio kila mwanaccm anakubaliana na hii ccm ukawa. Kibaya zaidi haruhusu watu kukosoa mwenendo huo. Hivyo watu wameamua kujiongeza.
 
Hili ni kaburi bichi kabisa ambapo ndio anazikwa mtu, naamini litafukuliwa mda ukiwadia, ila jiwe sio wa kuondoka leo wala kesho, labda akate moto, mikakati mikali sana inasukwa mark my word

Sent using Jamii Forums mobile app

Jiwe hakatizi 2025. Jiwe ataanza kupunguzwa nguvu muhula wa pili kuanzia katikati kuelekea mwishoni. Hakuna kitu kinamuuma huyo jamaa kama kuona hawezi kugombea zaidi ya mihula 2. Hata aliambie jeshi sasa kuwa mnipitishe, watamwambia sawa, lakini muda ukifika hataamini.
 
Natamani mkuu angesema anaachia madaraka 2020 ameamua kupumnzika kutokana na kuifanya nchi kwenda katika mstari ulioonyooka
 
Hilo swali unaweza kujijibu mwenyewe kwa kuangalia marafiki alionao (mtu rafiki ni Kagame, Museveni unategemea nini)
Marafiki hawamfanyi kutibua katiba ya jamhuri,
Halitokuja kutokea;i mean haiwezekani hata afanyeje.
 
Jiwe hakatizi 2025. Jiwe ataanza kupunguzwa nguvu muhula wa pili kuanzia katikati kuelekea mwishoni. Hakuna kitu kinamuuma huyo jamaa kama kuona hawezi kugombea zaidi ya mihula 2. Hata aliambie jeshi sasa kuwa mnipitishe, watamwambia sawa, lakini muda ukifika hataamini.
Sio rahis mkuu, jamaa kawaweka mfukoni, na hizi harakati za kuunga mguu wa juhudi kuna kitu kinatengenezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye orodha yako, nakubali nimemsahau Hussein Mwinyi. Ridhiwani hata atumie uchawi wa wapi, asahau, huyo ni mtoto wake Membe kimsingi.
Mkuu kuna watu umewataja Wana 60+ na 70+ hao wote kipindi hicho watakuwa na 70+ na 80+ akina Bilal , Mahiga, Samia,n.k. uhakika ni akina 40 + kipindi hicho watakuwa na 50+ ili amalize akiwa na 60+

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom