Wanaotajwa Urais 2025 na 2030. Twende na yupi?

Dr Shekilango

Senior Member
Dec 30, 2013
192
117
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha.

Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.

Sasa hawa ndo wanaotajwa sana kwenye kiti cha Urais 2025 au 2030.

1. Philipo Mpango.
2. Josephat Gwajima.
3. January Makamba
4. James Mbatia
5. Zitto Kabwe
6 Freeman Mbowe
7. Tundu Lissu
8.Dr Wilbroad Slaa
9. Dr Mwigulu Nchemba
10. Hussain Ally Hassan Mwinyi
11. Kasim Majaliwa
12. Dr Tulia Akson


Twende na yupi kwa maslahi ya Taifa.
 
Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.
2020 na 2010 mliweka precedent mbaya mlipozuia watu wasichukue fomu unadhani Samia ndio atqkubali? Hope ya kumtoa ni hao uliotaja waungane waunde chama wafanye serious campaign ila kudhani anaweza asichukue fomu ni kujidanganya.
 
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha.

Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.

Sasa hawa ndo wanaotajwa sana kwenye kiti cha Urais 2025 au 2030.

1. Philipo Mpango.
2. Josephat Gwajima.
3. January Makamba
4. James Mbatia
5. Zitto Kabwe
6 Freeman Mbowe
7. Tundu Lissu
8.Dr Wilbroad Slaa
9. Dr Tulia Akson
10. Hussain Ally Hassan Mwinyi.

Twende na yupi kwa maslahi ya Taifa.
Tungekuwa tuna chama kimoja tu cha siasa, halafu tukawa wapenda haki:
Namba 7 hana mpinzani.
 
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha.

Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.

Sasa hawa ndo wanaotajwa sana kwenye kiti cha Urais 2025 au 2030.

1. Philipo Mpango.
2. Josephat Gwajima.
3. January Makamba
4. James Mbatia
5. Zitto Kabwe
6 Freeman Mbowe
7. Tundu Lissu
8.Dr Wilbroad Slaa
9. Dr Tulia Akson
10. Hussain Ally Hassan Mwinyi.

Twende na yupi kwa maslahi ya Taifa.
binafsi kila nikifanya maombi binafsi ya sirini, juu ya uongozi wa juu kwenye Chama na Serikali ijayo 2025, namuona tu Dr. Samia Suluhu Hassan pekeyake ameketi kishujaa sana na yuko tayari kuwatumikia waTanzania kwa awamu nyingine...

Ama kwa hakika sauti ya wananchi ni sauti ya Mungu

Hao wengine wapo wanaonekana, lakini sio kwenye nafasi ya juu kwenye chama au serikali. Mungu anampango nao nafasi nyingine kwa wakati wake.

Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki kiongozi wetu huyu mahiri, makini na shupavu afya njema daima.
 
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha.

Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.

Sasa hawa ndo wanaotajwa sana kwenye kiti cha Urais 2025 au 2030.

1. Philipo Mpango.
2. Josephat Gwajima.
3. January Makamba
4. James Mbatia
5. Zitto Kabwe
6 Freeman Mbowe
7. Tundu Lissu
8.Dr Wilbroad Slaa
9. Dr Tulia Akson
10. Hussain Ally Hassan Mwinyi.

Twende na yupi kwa maslahi ya Taifa.
Dr Samia Suluhu Hassan
 
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha.

Lakini kwa maoni yangu kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa CCM iachane na Rais Samia tu hafai kuongoza chama hicho na Nchi amalizie muda wake na aende tu.

Sasa hawa ndo wanaotajwa sana kwenye kiti cha Urais 2025 au 2030.

1. Philipo Mpango.
2. Josephat Gwajima.
3. January Makamba
4. James Mbatia
5. Zitto Kabwe
6 Freeman Mbowe
7. Tundu Lissu
8.Dr Wilbroad Slaa
9. Dr Tulia Akson
10. Hussain Ally Hassan Mwinyi.

Twende na yupi kwa maslahi ya Taifa.
Hakuna hata mmoja kati ya hao

The right pick will be revealed six months before the campaign for the general election begins and shall be a hybrid person who integrates with every political, social, scholarly, economic, and security circle to satisfactorily nurture the sons of the land's groins thirsty of justice, development, peace, and economical burden relief.

*The candidate shall be a Libra star to win the competitive game........
 
Back
Top Bottom