chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,011
- 20,685
Najua sitamkwaza Mzee wangu Filipo, ila namshauri tu, kama ataona bado ka afya kanaleta leta shida, amfate mama amwambie kwamba atafute mtu mwingine wa kupiga naye jaramba 2025. Afya ni muhimu kuliko chochote.
Yeye abaki na kazi ya kushauri, na pia apate muda wa kutosha kuangalia afya yake. Ametendea makubwa taifa hili, na tutamuemzi sana, japo waha wanamshambulia kwamba hakuna alichofanya kwao. Basi kaangaliwe ka mradi kakubwa hapo Kigoma, kajengwe, kapewe jina lake, hata kama ni baranara za kuiunganisha kigoma na mikoa jirani au ka airport kajengwe vizuuri kaitwe "Philip Mpango International Airport-Kigoma"
Kombinesheni ya Majaliwa na SSH itayavuta makundi yote, na kulidhoofisha kundi la waombolezaji ambao kuna mtu walimtegemea kwamba anaweza kuwaibua.
Pia Majaliwa anajua kupiga maneno jukwaani. Pia mikiki ya kutembea nchi nzima inahitaji uwe timamu kiafya, hasa kwa kiongozi wa pili wa kitaifa ili yasijetokea mambo ya YUASA.
Katikati (Waziri Mkuu) anasimama Dotto Mashaka Biteko.
Kwa hiyo, kama ni supu, itakuwa imekolezwa na pilipili kidoogo.
SSH2025/2030.
Yeye abaki na kazi ya kushauri, na pia apate muda wa kutosha kuangalia afya yake. Ametendea makubwa taifa hili, na tutamuemzi sana, japo waha wanamshambulia kwamba hakuna alichofanya kwao. Basi kaangaliwe ka mradi kakubwa hapo Kigoma, kajengwe, kapewe jina lake, hata kama ni baranara za kuiunganisha kigoma na mikoa jirani au ka airport kajengwe vizuuri kaitwe "Philip Mpango International Airport-Kigoma"
Kombinesheni ya Majaliwa na SSH itayavuta makundi yote, na kulidhoofisha kundi la waombolezaji ambao kuna mtu walimtegemea kwamba anaweza kuwaibua.
Pia Majaliwa anajua kupiga maneno jukwaani. Pia mikiki ya kutembea nchi nzima inahitaji uwe timamu kiafya, hasa kwa kiongozi wa pili wa kitaifa ili yasijetokea mambo ya YUASA.
Katikati (Waziri Mkuu) anasimama Dotto Mashaka Biteko.
Kwa hiyo, kama ni supu, itakuwa imekolezwa na pilipili kidoogo.
SSH2025/2030.