Majaliwa atinga mgodini Buzwagi. Asema bado tunawahitaji wawekezaji, watakaa wakubaliane

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Wazir mkuu Kassim Majaliwa amefanya ziara mgodi wa Buzwagi na kuchukua sample ya mchanga uanaopakiwa na kupelekwa nje.
Majaliwa amesema bado wanawahitaji wawekezaji na watakaa nao wakubaliane, amesema wanataka wajiridhishe na wawekezaji wetu tuone tunachopata kama ni sawa


 
Kwanini hatua hiyo ya KMK haikutangulia kuzuia usafirishaji? Walistahili kujiridhisha kwanza kukwepa usumbufu kwa pande zote, sasa wawekezaji wataanza kupata wasiwasi na sera yetu ya uwekezaji!
 
Haya Matamko ya kubadilika kila siku waangalie pia mana yatachangia kufrustrate sound investment
 
Katibu mkuu alisema mchanga una madini 0.02% , mkurugenzi mkuu bandari anasema mchanga una madini 90% , hapa nani mtaalam? Lkn akili ndogo tu inasema madini 90% kuyaona isingehitaji maabara ya mkemia mkuu wa Serikali.
90% labda awedanganye vipofu wenzake
 
sinema safi sana hii, planning zerooo.

Hii serikali ya awamu hii haina "well defined strategies". Na bahati mbaya hawashauriki to any extent..!!
Nadhani ni madhara ya kukasimu madaraka mazito kwa "jokers".
Mtu anaibuka tu from nowhere ndani ya siku chache eti naye autaka utukufu..!!
 
Back
Top Bottom