Majaliwa atinga mgodini Buzwagi. Asema bado tunawahitaji wawekezaji, watakaa wakubaliane

Hii strategY ndo naielewa sasa kuchagua mtu kutoka kwenYe ukuu wa wilaYa kuwa wazir mkuu wako .................
 
Majaliwa to the rescue once again. What would sizonje do without him? He has been cleaning sizonje's mess again and again!!!!
 
90% labda awedanganye vipofu wenzake
Ha ha ha! 90% tuki-assume lile container la mchanga lina uzito wa tani 50 maana yake 0.90 x 50 = 45 tons dhahabu. Kwa maana nyinge; zile containers 220 zilizozuiliwa pale bandarini zina dhahabu kiasi cha tani 45 x 220 = 9,900 = 9,900,000kg.

Leo bei ya dhahabu huko soko la dunia kwa mujibu wa mtandao huu (Gold Prices Today | Price of Gold Per Ounce | Gold Spot Price Chart) kwa kilo ni USD40,513.13. Hii maana yake, makontena yanayozuiliwa bandarini yana dhahabu yenye thamani ya 9,900,000 x 40,513.13 = USD 401,079,987,000 (au TZS 872,348,971,725,000; Trilion 872.35; sawa na bajeti ya Serikali ya miaka 30 kwa ulinganifu wa bajeti ya 2016/2017.

Ha ha ha! Eng. Kakoko acha kutufanya watanzania wote machizi! Hicho kitu hakipo duniani.
 
Waziri mkuu aache maneno, anapaswa kupeleka mikataba yote ya Madini bungeni, wabunge waipitie, sheria zirekebishwe ili kazi ifanyike.
Hivi blah blah za ziara za Kick amwachie Ngosha maana ndio anaziwezea na zinamfaa sana.
hao wabunge wako wenyewe wana hiyo elimu ya kuelewa hiyo mikataba?!!
 
Nchi hii kila siku ni senema mpya. Jana report ya faru John, leo sampuli za mchanga. Ameshakuwa mtu wa kukusanya samples sasa!!!!
sio kila siku sinema ni vile tu kila mtu kawa mfuatiliaji wa mambo, watu wangekuwa hawafuatilii usingesikia lolote
 
Swali la kujiuliza hapo.
Je amekwenda na wataalam wa madin wanaojua sampling technic??
Kama atakua hajafanya ivo atapewa feki sample!
Pia tuna kitengo cha madini pale kunduchi beach (AMGC), kwann sample ipelekwe nje??
 
Swali la kujiuliza hapo.
Je amekwenda na wataalam wa madin wanaojua sampling technic??
Kama atakua hajafanya ivo atapewa feki sample!
Pia tuna kitengo cha madini pale kunduchi beach (AMGC), kwann sample ipelekwe nje??
Hiyo ni maabara binafsi, ni uamuzi wa mtu apeleke hapo ama lah.Mtaalamu wa sampuli alikuwepo, aliyekuwa anachukua sample.
 
Eti watakubaliana,akili zimeshaanza kuwarudiaeeee,zile tambo za kwamba tutachenjua wenyewe siku tukiwa na uwezo zimegonga mwamba.Mikururpuko ni kitu kibaya sana mara oooh!hatuhitaji misaada sisi ndio tunatakiwa kutoa misaada hadi leo ni trilioni 3 tu za maendeleo zimetolewa kati ya trilioni 11.
 
Waziri mkuu aache maneno, anapaswa kupeleka mikataba yote ya Madini bungeni, wabunge waipitie, sheria zirekebishwe ili kazi ifanyike.
Hivi blah blah za ziara za Kick amwachie Ngosha maana ndio anaziwezea na zinamfaa sana.
NGOSHA ALILIANZISHA SUALA LA MCHANGA ILI KUWATOA WANANCHI KTK KUJADILI SOO LA BASHITE.... HAWAKUPIMA MATOKEO YAKE YATAKUWA NINI...

LIMEWAKAMATA SASA WANATAFUTA PA KUTOKEA....

INTERNATIONAL CONTRACTS SIO ZA KUINGIZIA LONGOLONGO... MATOKEO YAKE NI MABAYA,, NA NDIYO YANATUNYEMELEA...

WAMECHANGANYIKIWA.... HEBU FIKIRI, WAZIRI MKUU AMEENDA KUFANYA NINI IKIWA TAYARI RAIS AMEMUAGIZA CAG AFANYE UKAGUZI?????????!!!!!!!!!

WAKIAMBIWA WANAKURUPUKA, WANAONA WATU WABAYA....
 
Ha ha ha! 90% tuki-assume lile container la mchanga lina uzito wa tani 50 maana yake 0.90 x 50 = 45 tons dhahabu. Kwa maana nyinge; zile containers 220 zilizozuiliwa pale bandarini zina dhahabu kiasi cha tani 45 x 220 = 9,900 = 9,900,000kg.

Leo bei ya dhahabu huko soko la dunia kwa mujibu wa mtandao huu (Gold Prices Today | Price of Gold Per Ounce | Gold Spot Price Chart) kwa kilo ni USD40,513.13. Hii maana yake, makontena yanayozuiliwa bandarini yana dhahabu yenye thamani ya 9,900,000 x 40,513.13 = USD 401,079,987,000 (au TZS 872,348,971,725,000; Trilion 872.35; sawa na bajeti ya Serikali ya miaka 30 kwa ulinganifu wa bajeti ya 2016/2017.

Ha ha ha! Eng. Kakoko acha kutufanya watanzania wote machizi! Hicho kitu hakipo duniani.
VERY SIMPLE AND ACCURATE CALCULATIONS.................... GOOD REASONING MKUU DUDUS..

ENG. KAKOKO HUO UPUUZI KAMUELEZE MKEO..
 
Ha ha ha! 90% tuki-assume lile container la mchanga lina uzito wa tani 50 maana yake 0.90 x 50 = 45 tons dhahabu. Kwa maana nyinge; zile containers 220 zilizozuiliwa pale bandarini zina dhahabu kiasi cha tani 45 x 220 = 9,900 = 9,900,000kg.

Leo bei ya dhahabu huko soko la dunia kwa mujibu wa mtandao huu (Gold Prices Today | Price of Gold Per Ounce | Gold Spot Price Chart) kwa kilo ni USD40,513.13. Hii maana yake, makontena yanayozuiliwa bandarini yana dhahabu yenye thamani ya 9,900,000 x 40,513.13 = USD 401,079,987,000 (au TZS 872,348,971,725,000; Trilion 872.35; sawa na bajeti ya Serikali ya miaka 30 kwa ulinganifu wa bajeti ya 2016/2017.

Ha ha ha! Eng. Kakoko acha kutufanya watanzania wote machizi! Hicho kitu hakipo duniani.
Tatzo mtukufu wetu anapenda story kama hizo.

#If can't convince them, confuse them#.
 
Swali la kujiuliza hapo.
Je amekwenda na wataalam wa madin wanaojua sampling technic??
Kama atakua hajafanya ivo atapewa feki sample!
Pia tuna kitengo cha madini pale kunduchi beach (AMGC), kwann sample ipelekwe nje??
Mkuu, nadhani hujaelewa ishu ilivyo... Hebu fuatilia kwa umakini kwa nini mchanga husafirishwa.
 
Back
Top Bottom