Yeye yupo na watu wake kuhakikisha kuwa ule Utabiri wa shekhe Yahya unatimia na Mama iddy Amin Dada anarejea Zanzibar anawachia NchiWa
Wamnyime tu ila asije chadema
Yeye yupo na watu wake kuhakikisha kuwa ule Utabiri wa shekhe Yahya unatimia na Mama iddy Amin Dada anarejea Zanzibar anawachia NchiWa
Wamnyime tu ila asije chadema
Ongeza bia .Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Anyways, nasikia ashatema bungo huko 😂😂😂Hivi Edo baada ya kukoma kuwa waziri mkuu, aliacha kugombea ubunge kwenye jimbo lake?
MFUMO ndo nani hao?Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Nani ajuaye akawa wa awamu ya 7?Anyways, nasikia ashatema bungo huko 😂😂😂
Kila mtu na utayari wake, kwake uwaziri mkuu ni ziada, nani ajuaye furaha yake ni kutumia wananchi kwenye ubungeEdo ni exception hakuondoka kwa mema....Sumaye na Mizengo mbona hawakurudi tena?
Imagine Kassim anapita halafu anashinda, halafu anakosa uwaziri
Umeanza kulewa lini Lucas?Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe
Watu msha luka na brandMwaka huu mimi Ponjoro wa Kinondoni ndiyo waziri mkuu wenu kenge nyie.
Punbuza ushamba na udaku. Majaliwa Katangaz kustaafu na amewashukuru wananchi wa Ruangwa kwa miaka yote 15 ya kuwa Mbunge wao.Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.
Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.
Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.
Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.
Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili
Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Mkurugenzi wa Ruangwa Hotel amechukua Fomu janaAtachukuliwa na wazee.. Hii nchi imejaa watu wajinga sana, PM angejikita kusimama na wananchi nadhani angejieweka kwenye nafasi nzuri mno.
Enewei nasikia Jimbo lake hakuna aliyechukua mpaka sasa
Inawezekana. Leo kasema hagombei.Andaa kabisa pesa.
Kasema hagombeiNaona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe
Haku staafu, alijiuzuru, na pia hakutafutiwa msaidizi, ambapo kikanuni haipo hiyo nafasi.Hivi Edo baada ya kukoma kuwa waziri mkuu, aliacha kugombea ubunge kwenye jimbo lake?
Bahati mbaya sana hii avatar inanirudishaga nyuma sana, yani najikuta napiga chaputa.Haku staafu, alijiuzuru, na pia hakutafutiwa msaidizi, ambapo kikanuni haipo hiyo nafasi.
Alichelewa sana kung"atuka. Lol
Leta mchele wakoPumbaa
Lakini wewe hata hufai kwa kuwa ni mchezeshaji kamari, kwenye Quran imekatazwa na huku wanataka atakayerudisha uanzishaji wa mahakama ya kadhi.Mimi na huyo wakwenu nani ana afadhali?