Tetesi: Majaliwa anapigwa chini kiujanja

Tetesi: Majaliwa anapigwa chini kiujanja

Ila mkuu, hao kina Majaliwa sidhani kama watataka Reforms, maana kwenye katiba mpya kuna pendekezo la ukomo wa mtu kugombea ubunge kuwa vipindi viwili tu. Wakongwe wengi hawawezi kukubaliana na hilo.
Katiba mpya haipo, ndiyo inapiganiwa. Hicho kioengele kipo kwenye rasimi ya Warioba, ambayo siyo lazima vipengele vyake yaingizwe kwenye katiba mpya inayopiganiwa.

Nikukumbushe pia kuwa Kuna katiba pendekezwa ambayo kimsingi ilipitishwa na ccm tu. Namo humo siyo lazima vipengele vyake viingie kwenye katiba inayopiganiwa.
 
Katiba mpya haipo, ndiyo inapiganiwa. Hicho kioengele kipo kwenye rasimi ya Warioba, ambayo siyo lazima vipengele vyake yaingizwe kwenye katiba mpya inayopiganiwa.

Nikukumbushe pia kuwa Kuna katiba pendekezwa ambayo kimsingi ilipitishwa na ccm tu. Namo humo siyo lazima vipengele vyake viingie kwenye katiba inayopiganiwa.
Ni sahihi. Mimi nazungumza kwenye katiba mpya ambayo wananchi wanataka, ambapo ni ile rasimu ya warioba. Hata reforms zikifanyika ndio tutataka twende na hiyo, mbunge mwisho vipindi viwili tu
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
PItia jambobtv, amestaafu siasa
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Aise kweli bwana katangaza hagombei tena
 
Mwaka huu, mbweha wote wamefunguliwa dirisha la fomu za ubunge ili kurahisha mchakato wa kumpata mgombea urais. Hapa wamebaki watatu na mmoja ndio anatakuwa mgombea.
Kanuni ni moja, aliyechukua fomu ya ubunge marufuku kuchukua ya urais.
Hiyo kanuni haipo, labda huko kwenu..
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Timu magufuli ndani ya ccm ya akina Bashiru Gwajima Mpina na wenzao sasa wanasuka mipango jina la mkoloni kaburu Dikteta toka Zanzibar lienguliwe kwenye mbio za Urais, pia hawataki muungano wanataka Tanganyika iwe Nchi huru
 
20250702_112538.jpg
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Pumbaa
 
Sababu za kumkataa? Siamini sana kwamba eti amepigwa pin. Nchi hii hii? Kwenye ulaji?
Dili nyingi hayupo hata bandari hayupo ununuzi wa G55 kwa mbowe kuwa peleka chauma hayupo kwani hataki miradi haramu ya kishetani
 
Wa
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Wamnyime tu ila asije chadema
 
Unatamaniwa na ponjoro wa kinondoni
Abas Tarimba mfitini wa Gwajima na chawa wa Abdul hapati ubunge tena laana ya waumini wa kanisa la Gwajima zimeshamnasa ponjoro hana pa kupita tena
 
Back
Top Bottom