Tetesi: Majaliwa anapigwa chini kiujanja

Tetesi: Majaliwa anapigwa chini kiujanja

Haku staafu, alijiuzuru, na pia hakutafutiwa msaidizi, ambapo kikanuni haipo hiyo nafasi.
Alichelewa sana kung"atuka. Lol
Hajang'atuka, ameng'atuliwa,

Staiili Ile Ile ya Mgogo.
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane
Katibu wa maccm mkoa wa Lindi amesema, Majaliwa kamwambia kuwa hatagombea ubunge tena. Kwa Majaliwa hatchukuwa form leo.
 
Ujinga mtupu

Unataka uone post ndio useme anaungwa mkono?

Vijana mmekua wepesi mno vichwani

Mnakula nini aiku hizi?
Ulimjibu kwa dhihaka na matusi, haya kamuombe msamaha mleta post!
 
Ni sahihi. Mimi nazungumza kwenye katiba mpya ambayo wananchi wanataka, ambapo ni ile rasimu ya warioba. Hata reforms zikifanyika ndio tutataka twende na hiyo, mbunge mwisho vipindi viwili tu
Mkuu na Raisi anatakiwa apewe uwanja mpana wa kuchagua Mawaziri na manaibu Waziri nje ya wabunge yani Waziri mkuu na Mawaziri siyo lazima watokane na Ubunge.
 
Huyu ashakuwa PM kwa miaka kumi so hawezi teuliwa tena UPM akigombea atakuwa mbunge bakibencha aanze kuulizia maswali yanyongeza ndomana kaona itakuwa noma asigombee asubirie urais baada ya miaka mitano.
So atapewa ubalozi flani hata UN wenye heshma wakati akisubiri kuja kugombea uprezoo 2030.
 
Huyu ashakuwa PM kwa miaka kumi so hawezi teuliwa tena UPM akigombea atakuwa mbunge bakibencha aanze kuulizia maswali yanyongeza ndomana kaona itakuwa noma asigombee asubirie urais baada ya miaka mitano.
So atapewa ubalozi flani hata UN wenye heshma wakati akisubiri kuja kugombea uprezoo 2030.
Pm hajawahi kuwa Rais nchi hii.
 
Jamaa hatujamuona kabisa kwenye mapicha picha ya uchukuaji fomu.

Kwa ratiba zake ilitakiwa achukue FOMU jana ila watasha wamemuweka pini hakuna kuchukua FOMU. Kawekwa kizuizini, yeye anautaka ila MFUMO HAUTAKI.

Leo ndio siku ya mwisho kuchukua na kurejesha FOMU. Labda itokee miujiza wamuachie akachukue. Ila MFUMO HAUMTAKI.

Tunapoimba REFORMS huu ni wimbo unaotakiwa kuimbwa na watanzania wote hadi maCCM. Tena haya ndio yanapitia kipindi kigumu sana. Kuna udikteka mwingi unaendelea kwenye chama chao.

Hii ndio akili inataka ila Mwili hautaki. Wamempiga CHENGA mwili

Akashi huo huo hata SAMIA analiwa timing kutolewa kabla ya mwezi wa nane

Waziri mkuu wa miaka 10 fomu ya nini, wakati ana mafao mazito na pensheni nzito kila mwezi ya waziri mkuu mpaka kufa kwake.

Pensheni ya waziri mkuu ni pesa nyingi kuliko mshahara wa mbunge ama waziri wa kawaida
 
Leo amewaaga wapiga kura wake rasmi na amewaomba wamtafute mtu mwingine wa kuwaongoza.
 
[QU OTE="Rabbon, post: 54298471, member: 664697"]
SI kukariri, ni utaratibu,

Hauwezi kuwa PM kwa miaka kumi Kisha ugombee Tena ubunge uwe mbunge wa kawaida.
[/QUOTE]
Kwani cheo cha Uwaziri Mkuu kutumikia mwisho miaka kumi?
 
Waziri mkuu wa miaka 10 fomu ya nini, wakati ana mafao mazito na pensheni nzito kila mwezi ya waziri mkuu mpaka kufa kwake.

Pensheni ya waziri mkuu ni pesa nyingi kuliko mshahara wa mbunge ama waziri wa kawaida
Ni tamaa tu za ki museveni seveni
 
Back
Top Bottom