The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,637
- 1,864
Uongozi ni kuwatumikia watu,na sio kwa maslahiKwahiyo aache kusimama kutimiza ndoto zake na familia yake,asimame na wewe, PM siyo mjinga kihivyo.
Hata Lissu hapambanii wananchi kama hujui,anapambana kutimiza ndoto zake tu
Ni wito kama wito mwingine,ili uwe kiongozi ni lazima kama kiongozi ajue kwamba anaenda kumpambania mtu na sio kujipambania
Ila sasa njaa za viongozi wetu ni 7g