Mtakuja kutukana wazazi wenu humu mpate laana tulaahKmmmk usinizoee
😀😀 kwanini mkuuYule Dogo kiazi sana yaani
Uzi unasemaje huo as au nipe jina la mleta uzi nimtafutePole sana Tumetoka kwa Uzi wa Dogo na Dkt huku kumewaka tena
1.4.2011 ila ni kama Jana..... 😭😭😭08November 2022 , nilimpoteza mama yangu mzazi, maumivu yake hayazoeleki.
Nimesoma nilipofikia hicho kipengele mama yako alipoanza kuumwa nikaanza kujilaumu kwanini nimeusoma huu uzi.
NAUMIA.
Mkuu tuko sehemu ya nane fuatilia zote ziko hapa hapaKwani sehem ya pili iko wapi
Kwani umelazimishwa kusoma?Kiini Cha story yako n nn
Kwanin usilete summary fupi Kwamba aukiaribuje
Mamb ya kuanza kuongelea vidato haina maana kbsa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu.1.4.2011 ila ni kama Jana..... 😭😭😭
Elezea matukio in details bro hao wavivu wa kusoma achana nao hawajalazimishwa kusoma. Hii summary imekosa hook kabisa.SeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI
Ongea kila kitu ndo maana ya story/simulizi...hii sio Agenda za kikao...mimi nashauri useme kila kitu..mbona tunasomaga story mpk episode 70 huko...cha msingi story inasisimua na msimuliaji anaandika vzr tunakuelewa..SeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI
Dah! Bubu wa karanga nasikia alishafariki, dukan kwa mito muhindi huyo hapo posta nilikuwepo Bk sec 2001 - 2002 tuendelee.SEHEMU YA TANO (5)
Tulipoishia….
Walivyokimbia nikaamka nduki nikaenda nyumbani na nilikua na uoga sana ikabidi nimwambie Aunt kuwa watu flani wamenivamia na kunipiga kisa Jane (nilikua na utoto mwingi). Aunt alichukia na akasema twende kwao Jane ila tupite kwa balozi kwanza kutoa taarifa then tukaenda kwao na Jane.
Tunaendelea….
Kwao na Jane tulimkuta mama yake na wanafahamiana vizuri na aunt.. Sasa aunt sijui hakunielewa au alikua ashasikia tetesi za mahusiano kati yangu ma Jane..
Aunt akasema nisimulie ilivyokua na mimi nikasema kama nilivyomwambia home, asee aunt akaongeza na maneno mengine ikaonekana Jane ndo ana makosa. Mama yake alimpiga sana mbele yangu huku akitamka “Nishakuzuia mambo ya wanaume” mimi na Aunt tuliondoka tukuacha Jane anapurukushana na mama yake.
Tumerudi home napo nilipata nasaha ndefu sana siku hiyo.
Sasa kesho shule mimi na Jane tukawa maadui. Asee Jane alifanya maisha yangu ya darasani yakawa magumu sana. Kuna siku nilikutana nae mtaani akanambia atanionyesha. Sasa wale jamaa wote waliokua wakimfatilia akaanza kupiga nao story. Nilikua naumia sana maana nilikua nampenda bado ila sikuweza kumfuata hata siku moja kumwambia yaishe au samahani, hivyo ni miongoni mwa kitu kilichomchukiza sana ( nilijua baadae). Maisha ya shule yaliendelea na niliamua kufocus na masomo zaidi na wakati huu mwezi wa sita ulikua umefika na tulifanya mtihani vizuri. Matokeo yalitoka na this time nilikua mtu wa 9 kutoka 92 mwezi wa 3. Licha ya matokeo haya Aunt bado alisema ongeza bidii kuna masomo hufanyi vizuri. Dah nilijisemea huyu mama anataka nisome vipi.
Yule rafiki yangu V tuliyehamia wakati mmoja hapo alikua close na mimi na ndoto yetu ya science ilishakufa muda tushakua watu wa Arts na tushazoea mazingira. Ilibidi nimwambie kuhusu Jane na akasema alisikia maneno kuwa nimepigwa na mchumba wa Jane, akanicheka sana. Kumbe story watu wanazo class na wananicheka chini chini.
V aliniahidi ataongea na Jane maana nilikua nammiss sana zile care amd everthing alafu ulizingatia ndo nilikua nimeonja utamu wa tunda mara moja tu.
V alizungumza na Jane lakini Jane alinikazia kabisaaa na wakati huu nilijua mambo mengi kuhusu yeye. Kumbe zile pesa Likua akinipa alizitoa kwa jamaa mmoja alikua anadate nae. Jamaa ni mkazi wa Bukoba ila alikua anafanya kazi Dar. So Jane alinunua simu flani hivi (Kipindi hicho simu za mchina zilikua zinatrend sana Bukoba) mimi sikua hata na simu, nilikua natumia ya sisy Tiva kuwasiliana.
Kwenye desk langu pale class nilikua close na wadada flani na mmoja nakumbuka alikua akinionyesha sign za kunipenda hata wakati niko na Jane. Sasa huyu na wenzake ndo walikua wakinipa umbea namna Jane anaongea huko, anadate na nani na mengineyo.
Maisha yaliendelea japo niliteseka sana na Jane hadi tukaingia form 4…….
Tulifanya mtihani wa Mock miezi miwili kabla ya NECTA na kiukweli matokeo ya Mock nilifeli… Nilipata 4 ya 29. Yule rafiki yangu V alipata 4 ya 28 na rafiki yetu mwingine alipata 4 ya 28.
Matokeo haya hayakumfurahisha kabisa aunt na alitoa kauli ya kunikatia tamaa akasema nijitahidi NECTA nipate hata 4 ya 28 nikasome Ualimu.
Dah nilikua mnyonge sana na sikuelewa hatma ya masomk yangu. Tulikaa kikao mkakati na wale rafiki zangu wawili tukakubaliana kwa muda huo mchache uliobaki tukakae Gheto tuwe tunakesha.
V alikua na gheto aliachiwa na dada yake pale mjini ila halikua na umeme.
Niliwasilisha ombi langu kwa Aunt, na hakukubali moja kwa moja akasema nikamwambie uncle. Baadae nilikubaliwa na mapambano yakaanza.
Nakumbuka ilikua imebaki mwezi na siku kadhaa tufanye NECTA, tulipiga book haswaaa, tulikua tunalala kwenye mkeka. Tuliweka sheria kulala kitandani ni kuanzia saa 10 usiku. Kwakweli nilipigika sana na rafiki zangi wale. Tulichambua past papers, tulifanya Duscussion na mengineyo mengi.
Nilikua naenda home jumatano na ijumaa kubeba misosi. Jumamosi jioni nilikua narudi kulala home ili j2 niende kanisani.
Siku zikakatika hatimaye tukafanya NECTA, mimi nikiwa kwenye bifu zito na Jane ila sikujali tena nilikua nawaza future yangu tu.
Jane hakua vizuri sana class so hakujali matokeo wala nini.
Baada ya kumaliza NECTA nilirudi mtaani na nikaendelea kumsaidia aunt pale ofisini kwake. Alikua akiniamini sana na wakati mwingine akisafiri mimi ndo nashinda ofisini kwake na natunza pesa zote home hadi arudi.
Nilianza kumshinikiza nirudi mwanza lakini hakukubali na Mwanza nilikua na crush wangu wa tangu utotoni sasa nilikua nammiss sana na kila tukiongea kwenye simu alikua anauliza narudi lini
Marafiki pia walikua wakiuliza narudi lini. Wakati huu nilikua na kisimu cha tochi tayari ambacho alinitumia kaka yangu akiwa kule Tabora Boys.
Matokeo ya Necta yaliyoka na siku hiyo nilikua nyumbani, nilipokea simu za watu kadhaa wakisema matokeo yametoka. Sikuwa na uwezo wa kwenda internet Cafe maana nilipatwa na wasiwasi hadi tumbo likaanza kuuma. Nakumbuka nilienda toilet nikamaliza matatizo yangu nikarudi kitandani kulala nikaweka biblia kifuani.
Baada kama ya saa hivi Aunt alinipigia na nilikua naogopa sana kupokea ile simu. Niwarudishe nyuma kidogo, nilisema watoto wengi wa Aunt wamesoma BK SEC, Sasa aunt ana mtoto wa kiume alikua UDSM wakati huo na alisoma BK SEC O-level.
Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu.
Tunaendelea….
Kama watu wako active nishushe epsode nyingine…
Eleza mkuu usiogope funguka habari za Tina na huyo dada wa ibadani na habar ya huyo mtoto wa mzee naimani tutapata la kujifunzaSeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI
Ukianza kujali kila comment ya mtu, kila mawazo yanayotolewa, na kila ushauri, hutoboi.. na uta catch feelings. Sababu kila mtu anaandika anavoona yeye.SeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI
Me nataka kujua. Ulipokua mbeya ulikua unarudi bk likizo??? Jane mlikua mnaonana. Na ulipokua shule ulikua unawasiliana nae?? Na kwa sasa mpo nae vipi?SeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI
Ndo nini sasa hii dogoSeHEMU YA TISA (9)
Tulipoishia…
Tabia ya kwenda porini ikakua na tukaanza kucheza kamali kule. Tulikua tukicheza kamali ya karata na dau nakumbuka lilikua 100 au siku nyingine 200. Ilikua pesa nyingi kwa maisha ya shule kwani ukipigwa kama elfu 3 hivi basi wiki nzima utakunywa uji mkavu…
Nikawa na ukaribu wa mdada flani (tumwite Tina) alikua mwanafunzi wa O-level… Asee kumbe yule dada kuna mwalimu anamtaka…. Hapa nikawa nimeyatimba
Tuendelee sasa…
Tina alinijuza kuwa kuna mwalimu huwa anamtaka sana na sasa ananiulizia.
Ngoja nipunguze maelezo naona watu wamesema hayana umuhimu
Huyu Tina alinipa msala, alikuja kupata mimba shuleni alafu kila mtu akawa anasema lazima mimba ni yangu. Tulikua form 6 tayari hapo na maisha ya kucheza kamali na kutoroka shule nilishayazoea
Nilishauza zile counterbook zote 12, nilibaki na moja tu la masomo yote. Niliuza vitu vyangu vingi mnoo
Katika yooote sikuacha kwenda kanisani jumapili. Na kuna mzee mmoja alikua na mwanae yuko form 4 pale shuleni. Yule mzee alinipenda sana, akawa kila jumapili lazima aniletee matunda pale kanisani, sikunyingine samaki au dagaa. Mzee alikua akinisisitiza nisome lakini mwanae pia asome kwani wana maisha duni na ni mtu pekee kwao walikua wakimtegemea (huyu dogo nilikuja kutana nae baada ya miaka 6 hivi mbele, pia story yake nimeiachia hapa)
*Kuna kipande muhimu sana cha dada kiongozi wa Dini haswaaa, nilijikuta kwenye mahusiano nae na hata nilivyoenda chuo bado nilikua nae. Huyu Dada nilimfanyia vitu vya ajabu sana kwakweli na niseme nilipoteza mtu muhimu basi tu. Ila sasa nikileta story yake watu watasema najizungusha story iwe ndefu.
Tuendelee kwa ufupi yule Tina alikuja gundulika ana mimba na mwenye mimba sio mimi, kuna jamaa flani alipewa msala huo. Maisha yakaendelea
Mtahani wa mock wa form 6 nilifeli tena… Nilipata 3 ya mwisho…
Kwa kipindi kilichobaki niliona nikomae na shule tu. NECTA ilifika nikafaulu na baadae nilichaguliwa kwenda SAUT Mwanza
TUENDELEE, NTASOMA MAONI YA WENGI KAMA TWENDE NA SUMMARY AU NIELEZE KWA KINA MATUKIO MUHIMU HADI NIMALIZE MKASA WANGU
ASANTENI