Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Nipo hapa na 🍿🥤 nasubiri muendelezoYes naandika mwendelezo
Nipo hapa na 🍿🥤 nasubiri muendelezoYes naandika mwendelezo
Unaweza kuwa sahihi ila ngoja tuendelee na story kwanza ikiisha you can judgeNakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.
Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
SoonNipo hapa na 🍿🥤 nasubiri muendelezo
Hata Maghayo The Mongo Finest wiki iliyopita alipatia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa kabisa mpaka kuleta Uzi kiasi ambacho watu wakajua atajinyonga , bange zake zote ziligonga mwamba katika kumsaidia sasa hivi amerudi tena Jf akiwa Hana mizuka yake kama ya mwanzo.Funguka zaidi mkuu, magunu huya pitii peke yako.
Thank youPole sana
Huu msemo unafaa kwa zile familia ambazo baba alikimbia majukumu na si kwa kila familia.Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao
Baba kukimbia majukumu nalo sio suala la kuhitimisha haraka, huenda kuna sababu kamaHuu msemo upo kwa zile familia ambazo baba alikimbia majukumu.
Unapitiliza mudaThank you
Kwanini baba asiwape mwenyewe hivyo vitu kama nguo au aseme nitampa mama yenu atawapa? Mambo hayo ndio wababa hua mnakosea halafu baadae watoto wakilipa fadhila kwa mama mnaumia.Nakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.
Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
This is my true story na sijatoa mahali… Lets wait and seeDaa mbona hii story yako inataka kufanana kama movie ya kinegeria inaitwa mission
Tayari nimeweka sehemu ya piliYes naandika mwendelezo
Na huu ndio ukweli ambao watoto hawawezi elewa Hadi uwe na familiaNakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.
Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata Maghayo The Mongo Finest wiki iliyopita alipatia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa kabisa mpaka kuleta Uzi kiasi ambacho watu wakajua atajinyonga , bange zake zote ziligonga mwamba katika kumsaidia sasa hivi amerudi tena Jf akiwa Hana mizuka yake kama ya mwanzo.