Maisha yangu baada ya miaka 37!

Maisha yangu baada ya miaka 37!

Mkuu nipo, maisha yanatupelekesha hadi JF tunaingia kwa kubeep.......

Kabla ukope lazima ujue unakopa kwa sababu gani, huwezi kuanza process za mkopo wakati hujajua hizo hela unataka kuzifanyia nini, mwenzetu alifeli kabisa hapo
Unaweza kujua unakopa kwa sababu gani Ila hio sababu isiwe sahihi.
Mkopo wa kuanza biashara ama mradi si mzuri , mkopo unatakiwa kuendeleza .
Lakini pia unaweza kukopa na kuanza kwa mafanikio ukapongezwa.

Mleta mada alisema hana kiwanja wala nyumba wala gari, kwa maana mkopo wake alilenga kwenye biashara.


Karibu tena jf mkuu , tuna wamiss sana wakongwe
 
  • Thanks
Reactions: ram
Huyu sio wa kumcheka niwakumsaidia.

Miaka 10 kazini hujafanya lolote?

Mkopo ulikuwa wa nini?
 
Wewe na mimi hatuna utofauti kabisa nadhani ni tatizo la kiroho
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo;

1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012, hivyo nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne, mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda, sina kiwanja, sina akiba, bado nimepanga, kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na mke siyo mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini bado tunasonga.

7. Mke hana kazi, hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, n.k.

10. Sina gari, nilioanza nao kazi wana nyumba kubwa na magari mawili, moja la mke.

Nahisi nina mkosi, nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale, ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki tano wametoboa mi nipo nipo tu mpaka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Ndugu sikufaham,

Ila andiko lako ni kama ulikuwa unanisemea mimi....

Hayo uliyoyaandika, ndo yananipata...
Tofauti ni kwamba mi nna miaka 12 kazini na naishi mikoani
 
Huo mkopo ndo vituko kabisa sitaki hata kukumbuka. Nilikopa 36m. Hapo Hela ya LOAN BOARD ikakatwa. Nikabakiwa na 20. Ukiniuliza nilichofanya sijui... Iliisha kiutani utani
Duh ! matumizi mabaya sana ya pesa 20m tu ungejenga nyumba nzuri,
 
kuna matumizi mengine ya pesa si ya lazima kabisa unapokuwa na mke + watoto bado upo nyumbq ya kupanga, huwa namshaa mtu hana wazo la kujenga/kununua kiwanja alaf analipa kodi laki 3 kwa mwezi !
 
Ndugu sikufaham,

Ila andiko lako ni kama ulikuwa unanisemea mimi....

Hayo uliyoyaandika, ndo yananipata...
Tofauti ni kwamba mi nna miaka 12 kazini na naishi mikoani
Jamani Mungu akusaidie
 
Unaweza kujua unakopa kwa sababu gani Ila hio sababu isiwe sahihi.
Mkopo wa kuanza biashara ama mradi si mzuri , mkopo unatakiwa kuendeleza .
Lakini pia unaweza kukopa na kuanza kwa mafanikio ukapongezwa.

Mleta mada alisema hana kiwanja wala nyumba wala gari, kwa maana mkopo wake alilenga kwenye biashara.


Karibu tena jf mkuu , tuna wamiss sana wakongwe
Thank you so much......
Now yuko at 40, bila shaka katika kipindi hiki chote kuna kitu ameshafanya
 
Thank you so much......
Now yuko at 40, bila shaka katika kipindi hiki chote kuna kitu ameshafanya
Naam, maisha yana badilika kila kunapo pambazuka, bila shaka alivuka salama kile kipindi.
Mwenyewe nilipo kuwa na 35 nilikua sielewi ila nilizoea na kubaki kawaida bila ya stess hadi leo.
Maisha huanzia 40 wanasema.
 
Naam, maisha yana badilika kila kunapo pambazuka, bila shaka alivuka salama kile kipindi.
Mwenyewe nilipo kuwa na 35 nilikua sielewi ila nilizoea na kubaki kawaida bila ya stess hadi leo.
Maisha huanzia 40 wanasema.
Life linakimbia mnoo,siamini kama mwaka huu nagonga 34
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo;

1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012, hivyo nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne, mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda, sina kiwanja, sina akiba, bado nimepanga, kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na mke siyo mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini bado tunasonga.

7. Mke hana kazi, hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, n.k.

10. Sina gari, nilioanza nao kazi wana nyumba kubwa na magari mawili, moja la mke.

Nahisi nina mkosi, nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale, ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki tano wametoboa mi nipo nipo tu mpaka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Shida ni hapo kwenye mkopo uliuchezea
 
Habari.

Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite, Mshana Jr n.k. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo;

1. Ninafanya kazi Serikalini mshahara take home ni 1.3 m, hapo nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012, hivyo nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne, mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda, sina kiwanja, sina akiba, bado nimepanga, kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na mke siyo mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini bado tunasonga.

7. Mke hana kazi, hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, n.k.

10. Sina gari, nilioanza nao kazi wana nyumba kubwa na magari mawili, moja la mke.

Nahisi nina mkosi, nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale, ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki tano wametoboa mi nipo nipo tu mpaka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Mkuu sasa hivi una 40+ kama bado upo hapa, nakushauri don't give up!

Usifananishe maisha yako na Watu wengine...
Hujui njia zao
 
Back
Top Bottom