Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,889
- 37,857
Unaweza kujua unakopa kwa sababu gani Ila hio sababu isiwe sahihi.Mkuu nipo, maisha yanatupelekesha hadi JF tunaingia kwa kubeep.......
Kabla ukope lazima ujue unakopa kwa sababu gani, huwezi kuanza process za mkopo wakati hujajua hizo hela unataka kuzifanyia nini, mwenzetu alifeli kabisa hapo
Mkopo wa kuanza biashara ama mradi si mzuri , mkopo unatakiwa kuendeleza .
Lakini pia unaweza kukopa na kuanza kwa mafanikio ukapongezwa.
Mleta mada alisema hana kiwanja wala nyumba wala gari, kwa maana mkopo wake alilenga kwenye biashara.
Karibu tena jf mkuu , tuna wamiss sana wakongwe