uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,041
- 8,634
Usikate tamaa mkuu kuwa mbunifu uongeze kipato dunia uwanja wa fujo
Sio kweli hii Amen 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Amen
Shauri ako mke umempotezaSio kweli hii Amen 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Akiuelewa huu ushauri basi atakuwa hana wenge tena la kutaka kujiua.No, kuna swali haliko sawa.... Go through his post.... hapa hakuna cha kushauri... ni kwambaa atulize akili... anaenda speed ambayo hata dunia haiendi hivyoo.... dunia huchukua siku 365 kuzunguka muhimili wake , wewe unataka izunguke kwa siku 10 maisha haiko ivyoo....
Duh au na wewe hupendi niwe Shemeji yako? 😌 😌Shauri ako mke umempoteza
Nenda kwa mgangaNishahangaika Sana,hata pombe sinywi tena Wala mademu
Sometimes ni lazima Mwamba aelewe maisha ni mchakato na mchakato huwa unachukua time , unaweza ukaenda spidi sana na hili life lakini kama nature yenyewe haijamaliza mchakato wake utarudi palepale tu,Endelea kupambana..usichoke kuomba Mungu.
Pole Sana
Mapambano yangu yameishia hapo. Kazi imebaki yakoDuh au na wewe hupendi niwe Shemeji yako? 😌 😌
Au mchongo Pesa, pakua hela, biko, betpawa, sportbetyIla Watu mnajua kushauri aseee
Basi Wewe nyamaza tu halafu nataka kuhamia karibu na alipo yeye 😅 😅 😅 😅 😅Mapambano yangu yameishia hapo. Kazi imebaki yako
Wacha weeeh. Sema hakuna mkate mgum mbele ya chai.Basi Wewe nyamaza tu halafu nataka kuhamia karibu na alipo yeye 😅 😅 😅 😅 😅
Wakunyumba huo ushauri uliompa sio poa.Nenda kwa mganga
Haha ni utani tu mkuu namzinguaWakunyumba huo ushauri uliompa sio poa.
Huko kwa mganga ndo anaenda kuisha kabisa.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.....nimekusoma.Cheza CHOTA MIHELA