Mchukue mke aende nyumbani walau miezi miwili ili ujipange tenaNafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana,nadaiwa Kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi,kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote,au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.nishaurin...
Jibu hili linamfaa kabisaaUshauri wangu.
Sifa ndizo zinakudidimiza.
Hama mtaa ujipange kuanzia mchangani....no matter status yako.
Sema wanawake ni wambeya sana hapa unataka tu ujue kiundani mambo yake basi roho kwatu 🤣🤣Kwani walipwaje mkuu isijekuwa walipwa 3M .
Kuanza upya sio ujinga, anza upya kama ndio unatoka chuoni. Rudisha mke kwao au kwenu kwa muda.Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto...
Na wale malaika wako ulosema wapo kichwan.Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto...
Maisha Yana changamoto kwa kila mtu, hafi mtu, ila cha moto tutakiona.Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto...
Ila Watu mnajua kushauri aseeeCheza CHOTA MIHELA
Nishahangaika Sana,hata pombe sinywi tena Wala mademuNa wale malaika wako ulosema wapo kichwan.
Maisha hayana lelemama wala mchezo ni kupambana asubui jion hakuna kulaza damu, Hakuna wa kumaliza shida zako zaid ya upambanaji wako.
Hiyo hapana bosi,itachote zoteCheza CHOTA MIHELA
Yule mganga alokwambia una malaika ambae hataki unywe pombena anasa lakini sitoboa, church naenda, siendi kwa waagnga.
Niliendaga kabla miaka kama kumi huko nyuma ,Sasa siendi tena abadaniYule mganga alokwambia una malaika ambae hataki unywe pombe
Huwezi jua uenda ikawa bahati yakeIla Watu mnajua kushauri aseee