Mjini kusaka nini wakati pesa zipo kijijiniBora wewe una mshahara, wengine hamna kipato kabisa.Mimi nilipigwa ikabidi nihamishe makazi mkoani kwa muda, najishughulisha na kilimo kdg najipanga kurudi tena mjini.
Mjini kusaka nini wakati pesa zipo kijijiniBora wewe una mshahara, wengine hamna kipato kabisa.Mimi nilipigwa ikabidi nihamishe makazi mkoani kwa muda, najishughulisha na kilimo kdg najipanga kurudi tena mjini.
Sawa Kyoma.Haha ni utani tu mkuu namzingua
Kuna mambo yanaonekana ya hovyo ila ni msaada kwa wengi sana, sijajua kwanini wengi wana perception hasi kuhusu betting??Betting
Usikate tamaa kaza..Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.
Nishaurini, sifanyi anasa, nimeacha mademu na anasa lakini sitoboa, church naenda, siendi kwa waganga.
Nifangeje jamani?
Hawajui ABC za timuKuna mambo yanaonekana ya hovyo ila ni msaada kwa wengi sana, sijajua kwanini wengi wana perception hasi kuhusu betting??
mke wako anafanya kazi gani? hata kuuza nyanya au vitunguu pale nyumbani ili asaidie kidogo?nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.
kamatia uzi huo huo usijaribu hakuna la maana hata moja kwenye bettingDaah.! Yaani hata kuwaza kujaribu tu ku bet sitaki. Aisee naichukia mno kamari.
usimtanie mtu kwenye kitu serious kama hichiHaha ni utani tu mkuu namzingua
Ikiwa umesema hivi wewe basi sina budi kukaa kimya na kukubali kutokana na heshima yangu kwako ustadhat bitimkongwe.usimtanie mtu kwenye kitu serious kama hichi
bidilisha kaziNafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.
Nishaurini, sifanyi anasa, nimeacha mademu na anasa lakini sitoboa, church naenda, siendi kwa waganga.
Nifangeje jamani?
Kabisa.Hawajui ABC za timu
Kumbe una akili sana wee mwanamke. Njoo basi nikuwoweNa wale malaika wako ulosema wapo kichwan.
Maisha hayana lelemama wala mchezo ni kupambana asubui jion hakuna kulaza damu, Hakuna wa kumaliza shida zako zaid ya upambanaji wako.
Sikushauri acha huo ni ujinga you will be addicted coz kwa sasa una mawazo ya kupata pesa badala yake utapigwa mpk unfate yesu alipo.
Hyo pesa ya mahali tumalizane leo leo.Kumbe una akili sana wee mwanamke. Njoo basi nikuwowe
Hutaki longo longo sioHyo pesa ya mahali tumalizane leo leo.
Ukija unakuja tu na gari na kubeba kila kitu ndani kwangu ndoa tayali.
Ahsante mno mzee wangu Bitimkongwe. Ni mzee wangu bila shaka kiumri!kamatia uzi huo huo usijaribu hakuna la maana hata moja kwenye betting