Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,974
- 26,970
AmenBarikiwa sana
AmenBarikiwa sana
angebeti bila bandoHela uliyonunulia bando mimi naona ungeibetia, you never know!
Tatizo lako Kama haupo serious ,taja kipato chako kwa Sasa na Bei ya nyumba unayo lilipia na uko mkoa gani isije kuwa upo mbeya ambako Bei ya chumba double Ni 40000 na misozi juuTuelekezane
Sio Kila jambo unamwambia Kila mtu,Kwanza kabisa unaweza kuongea na mke wako kuhusu hyo hali then jibu lake utuambie inakuwaje.
Mshirikiane then ukipata jibu nitafute.
Aloooo!! Kanji analika kiwepesi sasa?Hela uliyonunulia bando mimi naona ungeibetia, you never know!
Darasa ft Ben Paul sio Joh MakiniKila mtu maisha yanamgonga kiaina yake piga moyo konde..sikiriza nyimbo ya darasa ft john makin (sikati tamaa)na konyagi ndogo. upate faraja kidogo
Sikushauri acha huo ni ujinga you will be addicted coz kwa sasa una mawazo ya kupata pesa badala yake utapigwa mpk unfate yesu alipo.Yule jamaa kanishauri nibeti naweza kushinda,hebu nijaribu
Hata hivyo nilishasema nafanya maamuzi magumuSikushauri acha huo ni ujinga you will be addicted coz kwa sasa una mawazo ya kupata pesa badala yake utapigwa mpk unfate yesu alipo.
Haya maisha yaacheKwani walipwaje mkuu isijekuwa walipwa 3M .
Mshahara wangu ni posho ya mtu.Haya maisha yaache
Ndioangebeti bila bando