Maisha yananigonga

Maisha yananigonga

Watakuelewa wachache sana,


Siku ukimuotea

Hahaahhahaa ukimuotea Kanji inakuwa raha sana, kuna Mshikaji alimpiga siku ya ijumaa shida zote ame clear alikuwa hana Uniform za mtoto, ada ya mtoto na gesi ilikuwa imeisha na alikuwa anaunga unga karibia siku 5.
 
Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.

Nishaurini, sifanyi anasa, nimeacha mademu na anasa lakini sitoboa, church naenda, siendi kwa waganga.

Nifangeje jamani?
Pole sana mkuu, ni kweli upo kwenye wakati mgumu lakini usikate tamaa... Jipe moyo kama unafanya biashara endelea nayo, omba ushauri kwa namna ya kuboresha biashara yako kama ni mfanyakazi umeajiriwa pia usiache kuomba msaada hapo ofisini kwa muhusika. Maisha ya mwanadamu yamejaa dhiki na tabu kila uchwao. Pole mno
 
Back
Top Bottom