Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,975
- 26,974
Haya sawaMimi ni Mwanamume sio mtoto wa Kiume
Haya sawaMimi ni Mwanamume sio mtoto wa Kiume
Unachofanya sio poa kabisa 🤭🤣🤣🤣Mi niwe nakufa na njaa huku babe yupo....mi nilishamwacha mbona🤨
🤣🤣🤣🤸🤸🤸Unachofanya sio poa kabisa 🤭
😢😢😢😢😢😢😢🤣🤣🤣🤸🤸🤸
😰😰😭😭😭🙌😢😢😢😢😢😢😢
Aaah hapa tuhame tuShangaa mwenyewe jaman😭
🤣🤣🤣Ndo ninachokupendea....hutaki niumieAaah hapa tuhame tu
Sitak upate shida dada angu🤣🤣🤣Ndo ninachokupendea....hutaki niumie
Barikiwa sanaSitak upate shida dada angu
Ss tumshaur nn ili asijinyonge 😀😅😄Unamchanganya mwamba kwa huu ushauri wako 🤣 🤣 🤣
Endelea kumtumaini Mungu tu.Nafikiria hata nijiue au nikimbilie kusikojulikana, nadaiwa kodi mwezi ujao na sijui nitalipa vipi, kazi nafanya haiwezi kulipa madeni yote, au nimefikiri niachane na mke wangu tatizo ana watoto.
Nishaurini, sifanyi anasa, nimeacha mademu na anasa lakini sitoboa, church naenda, siendi kwa waagnga.
Nifangeje jamani?
Kwa hyo mnawarudishia wazaz majukumuMchukue mke aende nyumbani walau miezi miwili ili ujipange tena
Yes isije kuwa analipa Kodi laki tatu kwa mwez wkt Kuna nyumba ya 120 kwa mwezi ,lzm adateUshauri wangu.
Sifa ndizo zinakudidimiza.
Hama mtaa ujipange kuanzia mchangani....no matter status yako.
Mbona kauliza swal la msingiSema wanawake ni wambeya sana hapa unataka tu ujue kiundani mambo yake basi roho kwatu![]()