Maisha yamenishinda, vita imenishinda

Maisha yamenishinda, vita imenishinda

mpinzani

Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
23
Reaction score
28
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako, binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
So passing my greetings to the Late Jpm about the Bashiru demotion from KMK to Special Seat Mp .
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Mkuu binadamu ndivyo walivyo, huwa nawe pale wanapoona una faida kwao, ukiwa na shida wanakimbia, hilo lisikutoe kwenye reli
 
Wanasaikolojia njooni muokoe jahazi huku kuna mtu anataka kujinyonga.

Ila we bwana mdogo unachekesha sana hapa bongo kulivyo na mazuzu wengi maisha yanakushinda vipi?

Au una too much expectations ambazo pia ni unrealistic

Hivi huwaoni hao vijana wenzako wanaouza utumbo na miguu ya kuku na maisha yanaenda vizuri tu huku wakiamini ipo siku watatoboa

Huwaoni wale kina mama wanauza karanga na mihogo kwenye beseni na maisha yanaenda tena wana familia zinawategemea

We mtoto mayai mayai sana ungekuwa karibu ningekuwasha makofi mawili matatu kwanza akili ikukae sawa.
 
Usijiue wewe..

Watu wote usione wanacheka ukadhani wana furaha, msala ule ule tena si ajabu ukisimuliwa yako ukaona madogo...

Kitu kikubwa humu duniani tafuta furaha yako wewe mwenyewe usisubiri kupewa, haipo hiyo

Jipende, jifurahie

NB:

Ila ishu ya kukosa pesa hasa mwanaume ni kipengele yaan ni special task mweeh[emoji848][emoji848]
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Tulia usiwe ma hasira na wala usijiue haraka haraka.

Sema una tatizo gani ambalo unadhani binadamu hawajali kusudi tusaidiane kuweka uamsho kwa watu wanaoweza kukusaidia tatizo lako.
 
Bahati mbaya namba za kijana wangu Michael nilishapoteza, angekusaidia sana katika maswala ya counselling! Kwa ufupi wewe una msongo wa mawazo mamamako wewe! Kweli utakufa usifikri ni utani! Kama umekosa ajira si uende hata vijijini mbali kabisa akapige mpini? Nenda Tanganyika ukalime mkuu utatoboa tu!
 
Ila maisha Yana fumbo kubwa Sana, muda mwingine unajiuliza why wengine kila wanachogusa wanafanikiwa fasta tu, gusa mwingine Ni majanga tu.

Mimi naamini Kuna maisha ya aina mbili, haya ya kawaida na yapo mengine nje ya haya tunayoishi.

Mungu katufumba Sana hili fumbo, siku ukija lifumbua utajicheka Sana na kujiuliza nilikuwa nakwama wapi?
So usikate tamaa milango yako inakaribia kufunguka, pale unapowaza kukata tamaa kabisa na pale shida zinapozidi kiwango basi jua umetanganishwa na utepe mdogo Sana wa mafanikio, kwa lugha nyepesi unakaribia mafanikio.

Ila usisahau kuomba kwa Mungu .
 
Bahati mbaya namba za kijana wangu Michael nilishapoteza, angekusaidia sana katika maswala ya counselling! Kwa ufupi wewe una msongo wa mawazo mamamako wewe! Kweli utakufa usifikri ni utani! Kama umekosa ajira si uende hata vijijini mbali kabisa akapige mpini? Nenda Tanganyika ukalime mkuu utatoboa tu!
Shida inapoanzia watu hawataki kukubali kuanza chini.
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Aisee!
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Usiende kwanza poti.
Unapimaje mafanikio yako!? Kwa kuanzia!?

Kuna jambo nitakwambia ukinipa jibu kwenye hilo nililokuuliza. Muhimu sana.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Uko wapi tukutane tunywe beer tubadilishane mawazo
 
Nimepambana kwenye nyanja nyingi za kimaisha ila bado, nimeitafuta furaha kwa muda mrefu ila siku zangu za kuishi hapa duniani zimekuwa za mateso na maumivu,

Matatizo yako ni yako binadamu hawajali na hata hawatawaza hicho ndio kitu kikubwa nimekutana nacho, nimehangaika kwa kila namna kufanikiwa kimaisha, ila ukweli destiny yangu nimeishaijua niliandikiwa kufeli toka nazaliwa, hilo nimejua,

Sioni haja ya kuendelea kuhangaika kwenye dunia hii ambayo imeshanihukumu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kufeli maisha yangu yote, siku za kukosa furaha na maumivu zinatosha sasa, mimi moja kati ya wanadamu ambao furaha tumegombana nayo,

Naishia hapa na hii ndio point ambayo sina budi kurudi kwa yule aliyeniumba
Just relax, chukua glass ya maji unywe kupoza hasira na umkemee shetani, ikibidi ujambe kwa nguvuu....


Relax nniga maisha ndani ya Tanzania ya viwanda ni matam sana kuliko huko unako tamani kwenda wakati hukujui,, changamana na watu, fanya kazi sana, sikiliza mziki, kula sana ushibe ukiwa umechoka utasinzia na kusahau yalo pita.


Kukata tamaa nalo ni kosa kwa mungu broh,, jitahd saana hata kwenda kanisan/msikitini kutubu dhambi hizo ili shetan akuondolee majaribu hayo


Nasema tena, maisha ndan ya tanzania ni matam sana,, ila jikaze sana na ujitahd furaha yako isitegemee kutoka kwa mtu flan, tengeneza fraha we binafs. Pia usiwe mwema sana kuliko kuwa mwema kwako binafsi maana wapo wasio na shukrani
 
Back
Top Bottom