Maisha yamekuwa magumu mtaani

Maisha yamekuwa magumu mtaani

Mboju huko Dar sehemu gani. Kama hupo maeneo ya mbezi kuelekea kiluvya au utamudu usafiri, kuna kazi ya kujaza kifusi. Jamaa kachimba shimo la choo futi 12 upana mita 3 ili apate kifusi cha kujaza kwenye msingi. Kama unaweza njoo pm
 
Huu mwez haushii kama sijahasiwa ama ikishindikana ntangofua mapumbu kwa sabubu sitaki nipende wanawake
 
Huu mwez haushii kama sijahasiwa ama ikishindikana ntangofua mapumbu kwa sabubu sitaki nipende wanawake
Mkuu shida nini? Mbona mbususu tunapewa bure siku hizi? Gharama nyingine ni za muhimu ukizingatia uhalisia. Nauli, gharama za faragha, chakula au kinywaji na hela angalau ya kutambua ukweli ya kwamba ukichimba dhahabu usiache mashimo lazima ugharamike kuziba. Kwahiyo, mbususu kwa asili ni ghari ndo maana tunalazimika kuoa
 
Aaaha mkuu muda mwingine familia ni baraka japo ndo hivo
Kijana hakuna kitu kinaitwa baraka kwenye familia kama haujajipanga, ninyi ndio mnasababisha binadamu wasio na hatia wanateseka ktk ulimwengu huu Kwa starehe za hovyo na ubinafsi...
 
Kijana hakuna kitu kinaitwa baraka kwenye familia kama haujajipanga, ninyi ndio mnasababisha binadamu wasio na hatua wanateseka ktk ulimwengu huu Kwa starehe za hovyo na ubinafsi...
Mkuu unataka kusema maskini hatakiwi kuoa si ndio au unataka kuniambia wote ambao hawajaoa maisha yao ni mazuri??
 
Mkuu unataka kusema maskini hatakiwi kuoa si ndio au unataka kuniambia wote ambao hawajaoa maisha yao ni mazuri??
Unaoa ili iweje? Yaani wewe unateseka na bado unadiriki kuleta viumbe duniani washiriki mateso yako! huoni hilo ni kosa? Kwa nini usile tu mbususu za kitaa Kwa kutumia kinga ukaendelea kujichanga?
 
Unaoa ili iweje? Yaani wewe unateseka na bado unadiriki kuleta viumbe duniani washiriki mateso yako! huoni hilo ni kosa? Kwa nini usile tu mbususu za kitaa Kwa kutumia kinga ukaendelea kujichanga?
Mkuu kuna wengine toka tunajitambua tunatafuta hadi wa leo hatujawahi kujipata so kuna muda unakubaliana na maisha yalivyo
 
Back
Top Bottom