Maisha yamekuwa magumu mtaani

Maisha yamekuwa magumu mtaani

Wazee kila tunachofanya hakiendi mzunguko wa pesa ni mdogo saizi imefikia wakati kula milo miwili ni shida inabidi mchana mpige pas ndefu ili mle usiku

Watoto shule ni taabu tupu kila siku nauli sijui hela ya chakula huku mwenye nyumba anadai kodi kwakweli ni taabu tupu

Wazee mwenye mchongo wowote wa kuingiza kipato basi tupeane jamani
Nitafute nikupe ishu yenye kuingiza kipato kihalali kwa jasho lako.
 
078741****
Dah mkuu ef tatu au ef30? Mkuu msing'ang'anie mijini nendeni bush PESA ipo mkuu sisi vijana kinacho tuponza nikupenda town life kosa linaanzia hapo.


Fullstop, kwishaaaa
 
Dar siilo sehem ya khishi kama huna kipato cha uhakika bora urudi kwenu mikoani mana kinachokuja kufata
 
P
Dah mkuu ef tatu au ef30? Mkuu msing'ang'anie mijini nendeni bush PESA ipo mkuu sisi vijana kinacho tuponza nikupenda town life kosa linaanzia hapo.


Fullstop, kwishaaaa
oint yako ni nzuri mkuu
 
Wazee kila tunachofanya hakiendi mzunguko wa pesa ni mdogo saizi imefikia wakati kula milo miwili ni shida inabidi mchana mpige pas ndefu ili mle usiku

Watoto shule ni taabu tupu kila siku nauli sijui hela ya chakula huku mwenye nyumba anadai kodi kwakweli ni taabu tupu

Wazee mwenye mchongo wowote wa kuingiza kipato basi tupeane jamani
Pole sana kamanda lakini unapopanbana ukiona unaelemewa unaweza kurudisha majeshi nyuma
 
Nasiyo bure naxema sitaoa kwa sababu mimi nimezoea kubeti watoto watalala njaa
Hapana usifanye ivo usipoa kinyume chake unataka kusema utaolewa kitu ambacho sio kizuri mwanaume rijali lazima aoe iyo n kanuni ya kiimani na ki biology pia tusiongeze watu wa ku left ma group kwa kisingizio hawatak kuoa
 
Dah mkuu ef tatu au ef30? Mkuu msing'ang'anie mijini nendeni bush PESA ipo mkuu sisi vijana kinacho tuponza nikupenda town life kosa linaanzia hapo.


Fullstop, kwishaaaa
Jamaa kaomba buku3 na kapewa hiyo buku3 bila ya kutolea. Kwahiyo kapata buku2 ya kula yeye mke na watoto. Nadhani changamoto hiko kwenye fikra!
 
Back
Top Bottom