Ingekua baraka usingetesekaAaaha mkuu muda mwingine familia ni baraka japo ndo hivo
Done✅Keshaweka hapo juu mzee,,
Mkuu mbona unamuwekea chumvi kwenye Kidonda!?Ki
Kibaya zaidi huenda na watoto sio wako
😃😃Mikeka inazidi kuchanika 😀😀
Hamia ccm mamb byeee sana hukoWazee kila tunachofanya hakiendi mzunguko wa pesa ni mdogo saizi imefikia wakati kula milo miwili ni shida inabidi mchana mpige pas ndefu ili mle usiku
Watoto shule ni taabu tupu kila siku nauli sijui hela ya chakula huku mwenye nyumba anadai kodi kwakweli ni taabu tupu
Wazee mwenye mchongo wowote wa kuingiza kipato basi tupeane jamani
Inauma sanaKi
Kibaya zaidi huenda na watoto sio wako
Shukrani boss,,Done✅
Ngoma iko juu sanaPambana ivo ivo tu, ila usije ingia katika umalaya ni hatari zaidi hasa maambukizi ya HIV
Done, ila Mimi sio bossNImewasha weka no bosi
👇Wazee mwenye mchongo wowote wa kuingiza kipato basi tupeane jamani
Yaan kwasasa kusema ukwel mkia nimeufyata na utoa tu pale napojihakikisha nipo kwa mwanamke asie na mayaiMnazaa watoto wanini Kama hamna uhakika wa maisha?