Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Wazazi wanaimpact kubwaa sana katika future ya watoto ukizaliwa katika family isio jali future ya watoto automatically upo kwenye risky ya kuongia kwenye chain ya umaskin.
Once ukishaingia kwenye cycle ya umaskin kuchomoka ni ngumuh Sana.
Wazaz wengi WA kiafrika WAnazaa watoto kutafuta sifa watoto hawapat elimu Bora ,no ushauri wowote WA future life n.k
Nenda maeneo mengi ya kijijin utagundua wazazi ni kiwanda Cha kutengeneza poor generations.
Mtoto since day one mzazi hampi mtoto ushauri wowote hâta WA future carrier.
Wewe kama baba mtoto akiwa 7yrs Kaa nae chini mwambie fact about life ,mkazie
asome,mtengenezee hobby ya carrier ya kueleweka kwa Faida ya maisha yake .
Sio baba na mama wote kupost mtoto Mitandaon. Ndo wanaona furaha
.
Once ukishaingia kwenye cycle ya umaskin kuchomoka ni ngumuh Sana.
Wazaz wengi WA kiafrika WAnazaa watoto kutafuta sifa watoto hawapat elimu Bora ,no ushauri wowote WA future life n.k
Nenda maeneo mengi ya kijijin utagundua wazazi ni kiwanda Cha kutengeneza poor generations.
Mtoto since day one mzazi hampi mtoto ushauri wowote hâta WA future carrier.
Wewe kama baba mtoto akiwa 7yrs Kaa nae chini mwambie fact about life ,mkazie
asome,mtengenezee hobby ya carrier ya kueleweka kwa Faida ya maisha yake .
Sio baba na mama wote kupost mtoto Mitandaon. Ndo wanaona furaha
.