Mm ngoja nitoe mawazo yangu kulingana na hzo course mbili ulizochaguliwa.
Nina marafiki zangu wengi tu wapo cuba, wengine Algeria, rusia n.k..of course kusoma nje kuna kupa exposure nzuri kwani unajifunza kuishi na watu wa mataifa mengine.
Kulingana na hzo kozi mbili ulizochaguliwa mim kwangu civil engineering is the best kwa wakati huu.. Naongea haya kwa sababu nipo industry ya civil engineering. Computer engineering kwa sasa hivi market yake ipo saturated.. Na vijana wengi pale UDSM CoICT wengi wanalalamika ajira kwenye kozi ya CEIT.
Kwa mchanganuo huo hapo juu ni bora ukabaki hapa hapa TZ kwani pia utatengeneza channel zaidi hata ukimaliza chuo hautahangaika sana kwenye soko la ajira..
Ila kama unataka kwenda Algeria kubadilisha mazingira nenda tu.. Ila soko la ajira la computer eng.. Kwa sasa hiv limepungua..
Naongea kama mhandisi kwa ujumla wake, ingawa sifanyi kazi hizo kwa sasa. mtu anayekosa ajira wakati amesoma computer engineering has to be mediocre. It's one of the easiest major to get employed in or to be self employed yourself incase you decide.
Kwa mfano, ukiamua kujikita kwenye software,coding etc.., kazi zimejaa kibao.., kila taasisi Tanzania kuanzia sasa kwenda mbele lazima iwe na IT department/IT staff. Sidhani kama Hospitali itahitaji Civil Engineer, au mahakama itahitaji Civil Engineer.
Ukija kwenye Computer Networking, Tanzania ni kati ya nchi za kiafrika zilizo na penetration kubwa ya simu za mkononi, hiii inamaanisha nini?reach ya huduma ya mawasiliano ina-cover over 90% ya watanzania. Wateja wako ni kil amhusika mwenye simu ya mkononi, either directly au indirectly. Nikija kwenye mifumo ya mawasiliano kati ya mtandao mmoja kwenda mwengine, kwa maana ya interconnections, inter-operability, ndio kabisa, the market is extremely broad and in it's early stages.
Sasa hivi kuna challenge mpya ya Cyber Security, hii ni nafasi mpya ya ajira, kwani kila taasisi itahitaji iwe na policy na enforecement yake inahitaji capable engineers.
Ukiona mtu anakuambia Computer Engineering iko saturated, you can be sure of two things, si Mtaalamu wa computer, kama anajitanabahisha kuwa hivyo, basi ni "mediocre".
Computer Engineering is extremely wide, the only thing that can happen to you is being under utilised, other than that, you will always be busy. JUST one word of advice, Be good at what you are doing.
Usitishwe na watu wanaopiga kelele computer engineering iko saturated, most of those people can not tell a single difference between IT and computer engineering. Wao kila mtu aliyehitimu kozi ya Micoroft excel hapo hanibabaishi IT center wanamuona ni mtaalam wa kompyuta. Si sahihi.
Kuhusu kozi ya Civil, based on my vast experience overseas, it's one of the hardest courses kujiajiri, kwani capital yake si ya kubabaisha, sijawahi ona civil engineers wengi wakijiajiri from the get go. lazima upitie apprentinceship flani kwenye kampuni flani, uvuke ngazi ndio uwe na practice yako.
Pia Civil Engineers hawahitajiki kwenye kila nyanja ya maisha, sehemu chache, tu ndio wanahitajika. Na kazi wanazofanya sio ongoing, kama kazi zinazofanywa na computer engineers. If you are good at what you are doing i can assure you as a computer engineer jobs will not be your worry, you will be begging for free time. Just Be good.