Maisha ya wanafunzi waliomaliza Algeria.

Maisha ya wanafunzi waliomaliza Algeria.

Status
Not open for further replies.
Siongei kuhusu story nazoskia npo kwenye industry ya civil engineering na ndyo nayoeleza hapa.. Nipinge kwa hoja sio kuleta porojo.
Unaelezea nini sasa.? Mi naona huna cha maana unachoongea, unashindwa kuitetea field yako. Unaongelea kuhusu mtu wa Civil Engineering kuajiriwa serikalini hivi mara ya mwisho kwako kuona tangazo la ajira Serikalini linalotaka watu wa Civil Engineers ni lini.? Unaongelea kuhusu kilimo cha umwagiliaji, mtu wa Civil akafanye nini sasa akajenge mitaro au akachimbe bwawa.? Maana tuna wataalamu wa maji na mainjinia wa kilimo cha umwagiliaji. Upo kwenye field ya Civil ila huijui vizuri Civil wewe. Civil Engineering ni course ambayo ukisoma tegemea zaidi kujiajiri (kama kwenu familia safi na ukikidhi vigezo vya kupewa leseni), tegemea kufanya kazi za Project (kuna mradi wa kujenga jengo flani au kitu flani ukiisha basi), tegemea kufanya kazi katika makampuni binafsi ya ujenzi (ambayo hutoa ajira chache mno).
 
Unaelezea nini sasa.? Mi naona huna cha maana unachoongea, unashindwa kuitetea field yako. Unaongelea kuhusu mtu wa Civil Engineering kuajiriwa serikalini hivi mara ya mwisho kwako kuona tangazo la ajira Serikalini linalotaka watu wa Civil Engineers ni lini.? Unaongelea kuhusu kilimo cha umwagiliaji, mtu wa Civil akafanye nini sasa akajenge mitaro au akachimbe bwawa.? Maana tuna wataalamu wa maji na mainjinia wa kilimo cha umwagiliaji. Upo kwenye field ya Civil ila huijui vizuri Civil wewe. Civil Engineering ni course ambayo ukisoma tegemea zaidi kujiajiri (kama kwenu familia safi na ukikidhi vigezo vya kupewa leseni), tegemea kufanya kazi za Project (kuna mradi wa kujenga jengo flani au kitu flani ukiisha basi), tegemea kufanya kazi katika makampuni binafsi ya ujenzi (ambayo hutoa ajira chache mno).

Hahan na wew hukijui unachoongea hyo point nilyomjibu kwamba hata wilaya znajiri wahandisi ilitokan na swali alilouliza pia na mfano alioutoa yeye bora ungerudia tena kusoma ndo ujibu.

Point kwamba hujui kama civil engineer anweza kufanya irrigation inanafanya kujua uwezo wako kuwa huijui civil engineering. Ila ngoja tu nikwambie civil engineer kazi yake kubwa kwenye irrigation huwa anaandaa aina gani irrigation itumike, hapa tunazungumzia vtu kama sprinkler irrigation, boulder irrigation n. K. Pia huwa anaandaa drainage systems kwenye hayo mashamba, huwa anaandaa kuna ktu kinaitwa irrigation scheduling sio tu mkulima anamwagilia shamba kila sku hapana bali kuna interval ya mda wa kumwagilia shamba.

3.katika maelezo yangu yote sijasema kuhusu kujiajiri kwenye civil engineering. Hyo ndo changamoto moja wapo kwenye hii fani ndo mana sijaeleza..
 
WANAJAMII I'M SO MUCH THANKFUL FOR THE INFO.CONCERNING CIVIL & COMP,,,

NADHANI SSA HIVI NI MIMI KUCHANGANUA KUTOKANA NA UELEWA WANGU KWA JINSI KILA MMOJA WENU ALIVOELEZEA..
THENX ALOT FOR THE HEART OF HELPING & GOOD ADVICE.
GOD BLESS YOU WAKUU.:amen:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom