Maisha ya Uswahilini

Maisha ya Uswahilini

Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.
Basi utakuwa umechapa nchi nzima mkuu zero iq
 
Lakn mengine mnatia chumvi mbona mimi sehemu niliko siyaoni.
 
Mimi Mzenj wakati nimefikia uswahilini huku akilini nikijua wanawake wa Dar si salama kwa Afya yangu baada ya kama mwezi na Nusu visichana vikaniuliza hivi ww mpemba ndo tuseme hujaona mwanamke wa kukutosha au mgonjwa huwezi kazi .ili bidi Muda niukunje ili niwahi kurudi nyumbani nikiwa mzima wa Afya ila Raha maana mkielewana unaishi kama uko na ndugu zako tumbo moja vile
 
Uswahilini maisha ya kila mtu, ni mume/mke wa nani? Anafanya kazi gani? Ana watoto wangapi? Ni kabila gani?
Nani ni mpenzi wa nani?
Huwa siyo siri.

Watataka wajue maisha yako, kama maisha yako ni ya kuunga unga. Ukipata shida hawatakuacha. Kama hawatakuwa na pesa ya kukusaidia watamtafuta Gea Habib awasaidie kuitangaza ili upate msaada.

Kama maisha yako yametulia pesa ya mboga si shida basi ishi kwa heshima. Ukienda kwenye msiba kula hata kama umewekewa sinia ushirikiane na wenzako. Usipogusa chakula inakuwa noted hiyo.

Huku kwetu kuvaliana nguo ni kitu cha kawaida. Unaweza kununua khanga na kuwapa mashost wakutolee upya.

Huku tunashirikiana kwa shida na raha. Kama huna chakula cha kuwapa watoto usishangae habari zitaenea na sahani za chakula zitaingia.

nimechemsha chai lakini sukari imeniishia nije nichukue kijiko kimoja cha sukari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom