Maisha ya Uswahilini

Maisha ya Uswahilini

Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.
@Zero IQ Leo Mkuu umekuja penyewe
 
Hao ni watu wa pwani na uzaramo tu
Mikoa mingi kuna uswahilini hakuna upuuzi kama huo

Hizo ni story za Dar es Salaam Buguruni na mwananyamala, Tatizo wenyeji wamehodhi hizo sehemu

Muda unavyoenda hayo maeneo yatageuka maofisi hao watauza tu na kwenda kisarawe au Bagamoyo

Zamani kariakoo kulikuwa na huo ujinga pale katikati Leo wamebaki wachache, zimejaa ghorofa na ofisi za watu

Nani pale kariakoo mwenye nyumba anayemfuatilia jirani na Wao wataondoka tu kero za kelele na sera za nchi

Sinza uswahili ulipungua kipindi cha JK watu walifanya watakalo makahaba, Bar na pombe ilikuwa ndio sehemu yake, Wazawa wengi walihama na kupangisha, uswahili umepungua sinza
Ila watu wa pwani na visiwani kiboko. Alfajiri mtu kashamaliza mtaa eti anasalimia. Wanawake wa pwani wanakaa kijiweni kuelezea walivyofanywa usiku.eti leo kanabanduka saa 12..sijui nani kawaambia wengine hawapandwi!
 
Dada nimekuelewa hapo kwenye misiba nilishawahi kuona msiba mmoja huo chakula kimepikwa majirani woote walimsusia yaani hakuna aliyekula wala kuosha vyombo baadae nasikia wanasema huyu mwenye msiba huwa hali chakula kwenye misiba ya wenzake wala kugusa chombo cha kuosha akija anakuja kama Mtalii tu.

Nikawa nimejifunza jambo pale.
Ndivo kuliko huku uswahilini kwetu mtani

Siku mmoja fanya kutembelea na uku
Nimeunda ka kikundi ka ngoma za Uruguay
Kwa ajili ya amsha amsha kwa mkwapa na kwengineko sitaki matani Mimi.
 
Uswahilini bhaana!

Ukiwa mzee wa round au kuwapiga chain, huchelewi kukamatwa.

Kuambiana kwao kanafanya uwahi kujulikana mapema.
Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom