Maisha ya Uswahilini

Maisha ya Uswahilini

Maisha ya uswahilini nimeyapitia kipindi fulani. Nilikuwa nakaa kwa kaka yangu wakati nikiwa mwanafunzi. Baba na mama mwenye nyumba wakiniita mkwe, mkwe... Basi binti wa mwenye nyumba akanipenda. Yeye mwenyewe kaanza. Kitu ambacho sikujua, alitaka mapenzi bila kuchelewa. Mimi nikajifanya mkaka mstaarabu. Kumbe ile hakuipenda. Baada ya wiki, kaka akanambia amelala naye wakati niko shuleni. Nikamuuliza kivipi. Akasema alikuja akamkuta anapika, akamwomba amsaadie. Akapika ugali, wakala. Halafu alivyoshiba akaomba kupumzika kitandani kidogo... Nilishangaa sana kwa vile nilikuwa mgeni uswahilini. Nakubaliana na wale wote waliosema watu wa uswahilini siyo wachoyo. Wanashirikiana kwa kila kitu.
 
Watataka wajue maisha yako, kama maisha yako ni ya kuunga unga. Ukipata shida hawatakuacha. Kama hawatakuwa na pesa ya kukusaidia watamtafuta Gea Habib awasaidie kuitangaza ili upate msaada.

Waswahili wameambukiza tabia mpaka kwa wanyama, hii siyo haki kabisa
 
Uswahilini maisha ya kila mtu, ni mume/mke wa nani? Anafanya kazi gani? Ana watoto wangapi? Ni kabila gani?
Nani ni mpenzi wa nani?
Huwa siyo siri.

Watataka wajue maisha yako, kama maisha yako ni ya kuunga unga. Ukipata shida hawatakuacha. Kama hawatakuwa na pesa ya kukusaidia watamtafuta Gea Habib awasaidie kuitangaza ili upate msaada.

Kama maisha yako yametulia pesa ya mboga si shida basi ishi kwa heshima. Ukienda kwenye msiba kula hata kama umewekewa sinia ushirikiane na wenzako. Usipogusa chakula inakuwa noted hiyo.

Huku kwetu kuvaliana nguo ni kitu cha kawaida. Unaweza kununua khanga na kuwapa mashost wakutolee upya.

Huku tunashirikiana kwa shida na raha. Kama huna chakula cha kuwapa watoto usishangae habari zitaenea na sahani za chakula zitaingia.
Bila kusahau uswazi mtu anaingia bafuni kuoga na maji tundoo robo na mswaki jiulize maji ya kupigia mswaki anatoa wapi uswahilini ukitaka maharagwe yapo yaliyochemshwa ya kupima , Uswahilini kila kiungo cha kuku kinauzwa kasoro manyoya ,Uswahilini kuchele
 
Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.

Mzee wa fursa nakuona huchezi mbali uswazi full mauno feni

Cc Kingsmann
 
Bado ikitokea shughuli watu wanabeba wali kwenye mifuko kula majumbani kwao....
 
Uswahilini Kama kwa jirani Kuna msiba au hitima nyumba zingine wote hawapiki siku hyo wanakula kwenye msiba mpaka watoto wait

Uswahilini unasonga ugali Kwanza ndio unatoka mtaani kutafuta fungu la samaki au vichwa vya kuku

Uswazi sukari inauzwa kwa kijiko

Uswazi muda wowote ngumi na kusutana

Uswazi asubh mwanaume anatoka na taulo barabarani anapiga mswaki kawaida Sana

Matusi Sasa ndio usiseme maana matusi Ni lugha ya kawaida saaana Hadi watoto wadogoo wanatukana

Maandazi wanakandia kwenye beseni la kufulia na kuogea na yanauzwa na watu wanagombania

Uswazi Mambo Ni mengi
 
Ukiwa na kazi ya 300k+ take home,uswahilini wewe bonge la tajirinina mpango wa kurudi uswazi kodi yangu ikiisha mwaka huu
 
Ila kuna siku lazima wakufume af wanakuhifadhi, siku mkikosana tu kinakua KICHAMBIO hadi utakoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom