Maisha ya Uswahilini

Maisha ya Uswahilini

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Uswahilini maisha ya kila mtu, ni mume/mke wa nani? Anafanya kazi gani? Ana watoto wangapi? Ni kabila gani?
Nani ni mpenzi wa nani?
Huwa siyo siri.

Watataka wajue maisha yako, kama maisha yako ni ya kuunga unga. Ukipata shida hawatakuacha. Kama hawatakuwa na pesa ya kukusaidia watamtafuta Gea Habib awasaidie kuitangaza ili upate msaada.

Kama maisha yako yametulia pesa ya mboga si shida basi ishi kwa heshima. Ukienda kwenye msiba kula hata kama umewekewa sinia ushirikiane na wenzako. Usipogusa chakula inakuwa noted hiyo.

Huku kwetu kuvaliana nguo ni kitu cha kawaida. Unaweza kununua khanga na kuwapa mashost wakutolee upya.

Huku tunashirikiana kwa shida na raha. Kama huna chakula cha kuwapa watoto usishangae habari zitaenea na sahani za chakula zitaingia.
 
Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.
 
Hao ni watu wa pwani na uzaramo tu
Mikoa mingi kuna uswahilini hakuna upuuzi kama huo

Hizo ni story za Dar es Salaam Buguruni na mwananyamala, Tatizo wenyeji wamehodhi hizo sehemu

Muda unavyoenda hayo maeneo yatageuka maofisi hao watauza tu na kwenda kisarawe au Bagamoyo

Zamani kariakoo kulikuwa na huo ujinga pale katikati Leo wamebaki wachache, zimejaa ghorofa na ofisi za watu

Nani pale kariakoo mwenye nyumba anayemfuatilia jirani na Wao wataondoka tu kero za kelele na sera za nchi

Sinza uswahili ulipungua kipindi cha JK watu walifanya watakalo makahaba, Bar na pombe ilikuwa ndio sehemu yake, Wazawa wengi walihama na kupangisha, uswahili umepungua sinza
 
Raha ya uswazi ni moja tu ukichapa demu vizuri akitoka tu anaenda msimulia Rafiki yake nae atataka kuja kuhakiki unachapa, ataenda kumsimulia mama yake muuza mgahawa nae unachapa yaani kwa msururu huo unaenda kuchapa ukoo mzima na mashost zao dadeki,


Uswazi Raha sana.
Aisee
 
Dada nimekuelewa hapo kwenye misiba nilishawahi kuona msiba mmoja huo chakula kimepikwa majirani woote walimsusia yaani hakuna aliyekula wala kuosha vyombo baadae nasikia wanasema huyu mwenye msiba huwa hali chakula kwenye misiba ya wenzake wala kugusa chombo cha kuosha akija anakuja kama Mtalii tu.

Nikawa nimejifunza jambo pale.
 
Dada nimekuelewa hapo kwenye misiba nilishawahi kuona msiba mmoja huo chakula kimepikwa majirani woote hakuna aliyekula wala kuosha vyombo baadae nasikia wanasema huyu mwenye msiba huwa hali kwenye misiba ya wenzake wala kugusa chombo cha kuosha akija anakuja kama Mtalii tu.

Nikawa nimejifunza jambo pale.
Uswahilini kuna tabia ukiwa nayo wananyoosha unakuwa Sawa
 
Uswahilini kuzuri jamani!
Tunashirikiana kila kitu!
Sabuni ya kuoga
Ya kufulia
Vyombo vya kupikia
Tunashirikiana mpka migegedo!
Yaani mmepanga nyumba moja we unamgegeda mama mwenye nyumba huku na we mkeo analiwa na mpangaji mwenzio!
Tunazikana vizuri sana na pia tunashirikiana hadi kuchambana!
Huku kazi zote ni halali, kuanzia wizi ukabaji udangaji nk!
Huku mfanyakazi wa benk ataitwa tajiri!
Yaan ni mengi mno lakini huku ndo kwetu.
 
Dada nimekuelewa hapo kwenye misiba nilishawahi kuona msiba mmoja huo chakula kimepikwa majirani woote walimsusia yaani hakuna aliyekula wala kuosha vyombo baadae nasikia wanasema huyu mwenye msiba huwa hali chakula kwenye misiba ya wenzake wala kugusa chombo cha kuosha akija anakuja kama Mtalii tu.

Nikawa nimejifunza jambo pale.
Kule usijifanye wewe ni special, wewe ishi kijamaa tena watakuchukua kama ndugu yao.
 
Sinza bado kuna mitaa tunacheza ngoma ya kumtoa mwari. Kama huna hela ya sare unakopeshwa ukipata unamrudishia mwenye ngoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom