Maisha ya peke yako

Maisha ya peke yako

Hahahaaahaaaah!

BABY SUPRIIIIIIIIIIISE!,...lol!

Kumbe angejuaa unaokoa jahazi!, lakini kazi inakukuja kwenye kuchunga pochi, asije ingiza mkono kutafuta tissue akakutana na "TISSUE"..hehehe!
hahahahahaha nyie watu mmenichekesha sana
 
Pole kwa kuvurugwa! ila tambua wanaume wabaya ni wachache sana, wengi ni wema - usikate tamaa.
 
Pole kwa kuvurugwa! ila tambua wanaume wabaya ni wachache sana, wengi ni wema - usikate tamaa.
Asante sana hata huyo tulobreakup he was a gud husband material.sijasema wanaume ni wabaya mie
 
Habar za usiku huu wakuu
niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhus maisha ya u single lady

kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa

pili Naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta micd call 10 na lawama juu.

Pili Napanga mambo yangu nnavyotaka mwenyewe sigombwi

Kama na wewe ni single lady em ongezea na mengine unayopitia
Mbio za sakafuni tu hizi!!
 
I'm single in the sense that I'm not in a committed rlshp which I enjoy.By the way kuwa in a rlshp hakujawah kunibughdhi.I have my own standards which I don't lower for the sake of a rlshp.Kwann ushindwe kuenjoy ur life cuz uko kwenye rlshp..yani how? Kuwa single ili Ku escape sjui missed calls n sjui uende anywea u want isn't the cure.Raise ur damn standards n Ull get the man.
Mi nlikuwa single form five cuz I wanted to build the foundation of my future bila distractions yoyote.I mean the good distractions.So yeah.Im very honest on wat I need in a rlshp so if that's not what I'm getting,I'll rather be single.Standard girls.
 
Habar za usiku huu wakuu
niende moja kwa moja kwa kile nilitaka kusema kuhus maisha ya u single lady

kikubwa ninachogundua nakuwa na utulivu mkubwa wa kufanya kazi tena kwa ufanisi na mafanikio makubwa

pili Naweza kaa hata 3 hrs bila kushika simu tofauti na zamani nikikaa dk 10 mbali na simu unakuta micd call 10 na lawama juu.

Pili Napanga mambo yangu nnavyotaka mwenyewe sigombwi

Kama na wewe ni single lady em ongezea na mengine unayopitia
iyo avatar ni yako mama
 
IMG-20170306-WA0000.jpg

Nihayo tu
 
Back
Top Bottom