Ugonjwa uoKwa kweli nna uhuru wa ajabu!
Nampost nnaetaka bila kuulizwa kwa hasira huyo ni nani yako?
Sihangaiki kununua vyupi vipya
Naenda kutalii kokote nnakotaka, leo nikijisikia kuspend weekend bagamoyo naenda bila kipingamizi wala kujieleza.
Walevi bhanaNice..Hakuna Raha Kama kuwa single...Hata ukilala baa Hakuna wa kukuuliza.
Kuwa single haimaanishi umekosa mtu ni maamuzi tu na kuelewa hasa nini unahitaji na kwa muda gani na nini kusudi la Mungu. sometimz anakuja mtu kabisa unasema nikimkataa huyu i wont have the reasons nor the guts to Blame God!
Inabidi nimwambie tu kama kuna ulinipangia mwingine send him sooner, maana huyu siye nikiona nachanganya madawa kama hivi naamua nikae pembeni kidogo

Daby acha woga.... Ukishafanikiwa unaset mfumo wakoKweli ulikuwa unapendwa kila baada ya dk 10 missed call 10. Hongera
Nilitaka nije ila siwezi kutimiza missed call zote hizo.
You know haya mambo ya missed call 10 yanahitaji watoto kiasi kwamba wakifikisha miaka yetu/yangu wanaset mfumo.Daby acha woga.... Ukishafanikiwa unaset mfumo wako
Kwa kweli nna uhuru wa ajabu!
Nampost nnaetaka bila kuulizwa kwa hasira huyo ni nani yako?
Sihangaiki kununua vyupi vipya
Naenda kutalii kokote nnakotaka, leo nikijisikia kuspend weekend bagamoyo naenda bila kipingamizi wala kujieleza.
Hahahah umentouch hapo kwa vyupi vipya khaaa..mapenz nyokoo sana pesa ya vyupi 25,000 ukiweka kibubu hujanunua jipsam bod za kutosha nyumba
Mda mwingine baada ya uhusiano kuna haja ya kuokota vipande na kujikusanya upya.
Sasa dushe unapata wapi??
Au ukutane na yule anataka uvae bikini tu!!! Yaani majanga. Saivi navaa zangu lichupi comfortable mwenyewe!!! Sina wasiwasi wa kushtukizwa kuvuliwa nguoPenye vyupi vipya tuko wengi kumbe, faraja ilioje!
Hii iliniudhi sana, halafu vyote chupi na bra. Ukutane na mwenye gubu kama hujamechisha chupi na bra yake anaona kama umetoka KoroMije leo.
Lakini sasa waala mwenyewe, chupi kijani na bra nyekundu sina wa kumhofia.


Au ukutane na yule anataka uvae bikini tu!!! Yaani majanga. Saivi navaa zangu lichupi comfortable mwenyewe!!! Sina wasiwasi wa kushtukizwa kuvuliwa nguo![]()
😀😀😀😀😀
Umenichekesha!, eti lichupi...lol!, kama ma grandma panties uongo mbaya yako very confortable.
Yaani nakumbuka zile za kushtukizwa halafu ndo uwe hujavipangilia vizuri vya ndani, mweeeh!
Ndo unaanza bebi suburi kwanza kidogo...kumbe unaenda kurekibisha mambo



yaani uko radhi uvue chupi uweke kwenye pochi ilimradi tu asiione na kujidai unamsurprise na papuchi! 


yaani uko radhi uvue chupi uweke kwenye pochi ilimradi tu asiione na kujidai unamsurprise na papuchi!
![]()
Mmh we nenda tu acha visingizioKweli ulikuwa unapendwa kila baada ya dk 10 missed call 10. Hongera
Nilitaka nije ila siwezi kutimiza missed call zote hizo.