ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
MAISHA YA WATANZANIA WALIO WENGI HUWA BADO NI KITENDAWILI KIGUMU KUKITEGUA. UKIWA HUNA KAZI, HALI MBAYA KULIKO KAWAIDA NA HATA UKIPATA KAZI NA YENYE CHEO ANGALAU CHA KURIDHISHA, BADO UKISTAAFU HALI YAKO INAREJEA KUWA MBAYA ZAIDI KULIKO WAKATI AMBAPO ULIKUWA HUNA KAZI KABISA...
KWA WATUMISHI AMBAO WALIKUWA WAADILIFU WAKATI WAKIWA KAZINI NA AMBAO WAMEITUMIKIA NCHI KWA JUHUDI NA MOYO WA KUJITUMA, SIKU WAKISTAAFU, HALI ZAO KIMAISHA ZINABADILIKA KABISA KANA KWAMBA HAWAKUWAHI KABISA KULITUMIKIA TAIFA KATIKA MAISHA YAO. HALI HII IMEBADILI MWENENDO WA KUJITUMA NA KUFANYA BAADHI YETU KATIKA KIZAZI HIKI NA PENGINE HATA KIJACHO KUANZA KUPOTEZA UADILIFU KABISA HUKO MAKAZINI NA KUANZA KUFIKIRIA ZAIDI KUJIJENGA BINAFSI KULIKO KUTUMIKA KWA MANUFAA YA UMMA KUANZIA TAREHE YA KWANZA YA KUAJIRIWA.
Maafande wakuu wastaafu wakiwa katika sherehe za kitaifa katika uwanja wa Taifa enzi za Rais wa awamu ya tatu Mh. Benjamin Mkapa.Wanaoonekana kwa karibu kutoka kushoto ni aliyekuwa CPF Jen. Mirisho Sarakikya (1964-1972),Jen. Mwita Kiaro (1988-1994), Jen. Mboma (1994-2000),David Msuguri na Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete (Mkulu wa nchi sasa)..MICHUZI.
JK akimjulia hali Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Ernest Mwita Kiaro aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza leo asubuhi.Rais Kikwete yupo Mkoani Mwanza kwa ziara fupi ya siku mbili kukagua shughuli za maendeleo ikiwemo kukagua ujenzi wa Barabara ya Usagara hadi Geita.((C)MICHUZI)
KWA WATUMISHI AMBAO WALIKUWA WAADILIFU WAKATI WAKIWA KAZINI NA AMBAO WAMEITUMIKIA NCHI KWA JUHUDI NA MOYO WA KUJITUMA, SIKU WAKISTAAFU, HALI ZAO KIMAISHA ZINABADILIKA KABISA KANA KWAMBA HAWAKUWAHI KABISA KULITUMIKIA TAIFA KATIKA MAISHA YAO. HALI HII IMEBADILI MWENENDO WA KUJITUMA NA KUFANYA BAADHI YETU KATIKA KIZAZI HIKI NA PENGINE HATA KIJACHO KUANZA KUPOTEZA UADILIFU KABISA HUKO MAKAZINI NA KUANZA KUFIKIRIA ZAIDI KUJIJENGA BINAFSI KULIKO KUTUMIKA KWA MANUFAA YA UMMA KUANZIA TAREHE YA KWANZA YA KUAJIRIWA.
Maafande wakuu wastaafu wakiwa katika sherehe za kitaifa katika uwanja wa Taifa enzi za Rais wa awamu ya tatu Mh. Benjamin Mkapa.Wanaoonekana kwa karibu kutoka kushoto ni aliyekuwa CPF Jen. Mirisho Sarakikya (1964-1972),Jen. Mwita Kiaro (1988-1994), Jen. Mboma (1994-2000),David Msuguri na Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete (Mkulu wa nchi sasa)..MICHUZI.
JK akimjulia hali Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Ernest Mwita Kiaro aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza leo asubuhi.Rais Kikwete yupo Mkoani Mwanza kwa ziara fupi ya siku mbili kukagua shughuli za maendeleo ikiwemo kukagua ujenzi wa Barabara ya Usagara hadi Geita.((C)MICHUZI)