Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,028
Wadau nawasabahi.Kwa uchungu mkubwa nimezipokea taarifa za bunge la ccm kupitisha muswaada uliopelekwa bunge na mwenza wa rais mstaafu wa awamu ya 4 wa kutaka wenza wa viongozi wa juu kulipwa mafao kama waume/wake zao wanavyolipwa baada ya kustaafu.
Najaribu kujiuliza hivi hili bunge la ccm liliutafakari kwa kina huu mswada au liliupitisha kwa maslahi ya ccm ? Kama wenza wanastahili kulipwa mafao ya kustaafu kama wanavyolipwa wenza wao najiuliza kwanini hawa wenza wanaotaka leo walipwe mafao kwanini hawakudai nao walipwe mishahara kama walivyolipwa mishahara wenza wao kabla ya kustaafu?
Ukweli ni kwamba kabla ya kustaafu unalipwa mshahara na baada ya kustaafu unalipwa mafao kwanini hawa wenza wadai mafao ya kustaafu wasidai mishahara ya wenza wao wakiwa kazini? Ukweli bunge la ccm halijatutendea haki masikini walipa kodi
.
Najaribu kujiuliza hivi hili bunge la ccm liliutafakari kwa kina huu mswada au liliupitisha kwa maslahi ya ccm ? Kama wenza wanastahili kulipwa mafao ya kustaafu kama wanavyolipwa wenza wao najiuliza kwanini hawa wenza wanaotaka leo walipwe mafao kwanini hawakudai nao walipwe mishahara kama walivyolipwa mishahara wenza wao kabla ya kustaafu?
Ukweli ni kwamba kabla ya kustaafu unalipwa mshahara na baada ya kustaafu unalipwa mafao kwanini hawa wenza wadai mafao ya kustaafu wasidai mishahara ya wenza wao wakiwa kazini? Ukweli bunge la ccm halijatutendea haki masikini walipa kodi
.