Maisha ya Msichana wa Saudi Arabia hatarini, ahofia kuuawa

Nchi ina masharti lakini upuuzi wao wanaufanya kwenye mitandao. Msaudia hashindwi kukupigia video call uone nyeti zake
 
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutawachinja
 
Hio ndio hukumu ya. Murtad yoyote
Murtad NI yule alieacha uisilamuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamtaweza hicho kitu
kuna mtu aliitwa Ayatollah Khomenei alitamka Suleman Rushdie AUAWE popote alipo
lakini Ayatollah hakuchukua muda AKAFWARIKI licha ya maandamano kushinikiza huko aliko (UK) Salman Rushdie auawe
kutafuta njia iliyo ya kweli ni kwa kulazimisha mwacheni huyo Bint atafute KWELI ilipo
kwani hakuna aliyefika peponi au Jehanamu na kakuhadithieni kuwa mpo sahihi na mnazidi kuwadharau binadamu wenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…