Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,324
- 13,634
Asee wasije wakamrushia majini mtoto wa watu maana hawa ndugu zetu katika imani wako vizuri sana kwenye sekta ya kupuliza. Takbirrr
Nipe hiyo mkulu, nami nijionee hayo mambo.Hio nchi nikisikiaga nakumbuka mababu zetu walipokuwa wanafungwa minyororo na waarabu. Nakumbuka walewa wanawake wanaozikwa na kupigwa hadi kufa kwenye mitandao.
Hio nchi ni nchi ya kishetani tu haina dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uzwa zwa Mkuu, tunaongelea ukatili wa Waarabu wakupenda kuchinja chinja ndugu zao. Habari za Sengerema wapi wapi?Wewe hujatembea hapa ukajionea, au pengine sio mfuatiliaji wa news. Hujawahi sikia mauwaji yanayotokea kule tarime,sirari,sengerema and geita! Shinyanga and mwanza pia mauwaji ya vikongwe na abino! Tena hapa kwetu mauwaji katika family ni kitu cha kawaida sana. Sema tu unajitoa ufahamu.
Ni kweli Mkuu huyu Mama kaandaa Maandamano hayo
hebu wawaachie wawe huru kwani hata wanaume wananyanyasika sana iko siku Saudia itakuwa huru
Kama hujui sheria za dini usiseme hio nchi haina dini ww ndo hauna dini saudia arabia ni nchi ya dini dont blame islam coz islam is perfect lkn watu ndio hawako perfect
Sent using Jamii Forums mobile app
Dini ya kuuaAchana nao hao Viongozi wa Saudia ni wapuuzi miaka yote
labda nikueleweshe huyu Bint atauliwa na familia yake wakiwemo ndugu Kaka na Baba wadogo. Viongozi wa Saudia hawahusiki na sijawataja fuatilia clip ya huyo Bint na usikilize video hii katika dakika ya 2.08 anavyowataja wauaji kuwa ni baba yake
- wamesharuhusu kina mama waendeshe magari
- wamesharuhusu sinema na majumba kufunguliwa
- wameshamuua Kashoggy wamechonganisha vita vya Yemen Iraq na kuruhusu vichupi kwa wanajeshi na wageni wanaotembelea Saudia sasa watakuwa na kauli tena?
Achana nao hao Viongozi wa Saudia ni wapuuzi miaka yote
labda nikueleweshe huyu Bint atauliwa na familia yake wakiwemo ndugu Kaka na Baba wadogo. Viongozi wa Saudia hawahusiki na sijawataja fuatilia clip ya huyo Bint na usikilize video hii katika dakika ya 2.08 anavyowataja wauaji kuwa ni baba yake
- wamesharuhusu kina mama waendeshe magari
- wamesharuhusu sinema na majumba kufunguliwa
- wameshamuua Kashoggy wamechonganisha vita vya Yemen Iraq na kuruhusu vichupi kwa wanajeshi na wageni wanaotembelea Saudia sasa watakuwa na kauli tena?
Ni kweli Mkuu huyu Mama kaandaa Maandamano hayo
hebu wawaachie wawe huru kwani hata wanaume wananyanyasika sana iko siku Saudia itakuwa huru
Acha uzwa zwa Mkuu, tunaongelea ukatili wa Waarabu wakupenda kuchinja chinja ndugu zao. Habari za Sengerema wapi wapi?